Mrejesho: Nimesafiri na BAJA 250 XLR kupitia mbuga ya Mikumi, kwa niliyoyaona sipiti tena

Mengine sina tatizo nayo ila hapo kwenye speed 180 umetupiga kamba!
 
Pole sana.Nafikiri uliposhuka kwenye chombo INZI walikuandama sana.pole sana.sisi morani ni kawaida kukutana nao porini hao nduli ns mara nyingine tunapambana nao na hata kuwanyanganya mawindo yao!!!
 
uongo Mikumi hata kutembea inawezekana hadi Doma simba wa Mikumi wanakula viepe chui wanakula miguu ya kuku glowila
 
Yaani unapita speed 150 na unaweza kuona simba ana damu mdomoni!!

Halafu ni nadra sana kuona wanyama hao wote ukiwa unapita Mikumi.

Ila poa tu ngoja tumeze!!

Hahahaaaaa mkuu nimecheka sana
 
Sheria ya kupita mbuga za wanyama ni spidi hisiyozidi 50km per hour hivyo unatakiwa ushtakiwe kwa kuvunja sheria

Hiyo ni night speed. Soma vizuri vibao vyao utaona wameandika NIGHT SPEED 50KPH
 
Kama jitu la miraba minne linakuwa hivi sijui vimbaumbau wanakuwaje!
 
steph curry njoo umuone mwenzio huku..inabidi um..register kwenye ile team yetu ya rally mwakani...bwahahaaa
 
Kwa hiyo speed 150 ni uongo uliotukuka halafu ufuke humps kwa mwendo huo utakua mzima wewe
 
Wewe ni mwongo kupindukia maana habari ilivyonioongo mtupu.

Hizo ni fix za kitoto sana, hakuna hicho kitu. Nimeshafanya kazi porini miaka, nimefanya census + road count..hako ka-movie noo punguza kidogo. Si kweli hata kdg
 
Wewe ni mwongo kupindukia maana habari ilivyonioongo mtupu.
Umeona eh? maana hiyo speed aliyokuwa anatumia na hayo matukio yaliyotoke ni vigumu kuvihusisha! utumie pikipiki 150km/h ugeuze shingo kuangalia simba,kichaka mtikisiko,nyati mvuka njia wacha wee!
 
Bwana msema uongo mchana kweupe tuambie hiyo pressure ya kupanda au kushuka?na ilikupata baada ya kumaliza safari yako au ukiwa mbugani na ulitibiwa haospitali ipi huku ukiambatanisha na copy ya cheti!jitu ongo hiliwala halioni haya!
 
Nahisi wakati umesimama tumbo lilianza kupiga miayo na ulikuwa kias flan hv unaangalia life saving tree in case maji yamezid unga ! Congrats kwa ujasiri huu.
 
Yaani unapita speed 150 na unaweza kuona simba ana damu mdomoni!!

Halafu ni nadra sana kuona wanyama hao wote ukiwa unapita Mikumi.

Ila poa tu ngoja tumeze!!

Umeniwahi mkuuu kusema hiloo ahahahaa
 
Kabla ya kuingia mikumi hapo mwanzoni kuna sehemu ya kuchimba dawa na mabasi mengi husimama, ingekuwaje kama ungesubiri basi lipite hlf ulifuate kwa nyuma???
japo stoi yaonekana fiksi. lakini kufuata basi pia ni hatari mfano. bsi likikuta kundi la nyati litasimama na wewe lazima usimame. haya mabasi yanaharaka hivyo hilo basi litaanza kupush mdogomdogo kati ya kundi mana haliwezi kaadakika nyingi kama kundi kubwa. wewe utafanyaje UTAJITOSA mwendo kwa speed ya binadamu kutembea kulifuata basi likipasua kundi la nyati. SUBUTU Kama hujakutana na nyati menye mtoto harafu katoto kake kajisogeze kwako
 
Watanzania wakati mwingine jamani tujifunze kucheka; this is just funny as hell!! Tunachukulia vitu too serious...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…