Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Sina ntachosema kuondoa hayo mawazo yako ubongo ni wako una uhuru na haki ya kuchagua nini uwaze

Ikiwa hajitongozi unapungukiwa na nini??? Jibu hakuna

Anajitongoza unapungukiwa na nini???, hakuna
Si ndomana tumejazana tunacomment, na aliyetoa mada anaenjoy comment zetu, inshort tunaenjoy tu, wadau km mimi nayeelewa chezo hili nafurahi uwepo wa akili km hizi, so usivunjike moyo wala usitoke povu, tunaenjoy tu maana hata kiukweli ndio anajitongoza ila ni jitihada zake wala haituongezei kitu, na tunacomment kuendana na matakwa yetu...au vipi mkuu, ila anajitongoza, afu tunacomment na haituongezei kitu pia...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Si ndomana tumejazana tunacomment, na aliyetoa mada anaenjoy comment zetu, inshort tunaenjoy tu, wadau km mimi nayeelewa chezo hili nafurahi uwepo wa akili km hizi, so usivunjike moyo wala usitoke povu, tunaenjoy tu maana hata kiukweli ndio anajitongoza ila ni jitihada zake wala haituongezei kitu, na tunacomment kuendana na matakwa yetu...au vipi mkuu, ila anajitongoza, afu tunacomment na haituongezei kitu pia...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji1]waaaacha weeee...kumbe huyu anajitongoza...

jikubalie bhc mambo yaishe[emoji848]
 
Tuleweni sasa ,kodi iongezeke ,huduma zipatikane kwa urahisi,na mishahara ilipwe ,haya mastory bila gambe mnaweza kuishia njiani
IMG_20180814_154530.jpg
 
Niliwah andika uzi... Nikisema " wanawake wa JF kuwen makini humu,"

Mule ndan nikaandika sana namna wanaume wanavyotumia mbin ,anakuziga yupo shinyanga et atakusafiria kumbe mpo naye Dar na tabata iyo iyo...

Lkn weeee kuna mtu alifura sana akahisi nmemsema yeye .. Bahat nzur kila kitu chao uko kwa maPM lazima kinifikie.. Ilo likapitaa.

Nyuzi zangu kuna wakat najitoa ufaham ti Naandika kuhusu suala la waawake kufanya biashara ya ngono mtandaoni , then mtu fulan anakuchukia bila sababu .

Sasa kumbe nikagundue watu wanapenda kusikia yale wanayoyafurahiaaa.

Ilo sio dogo,, mimi NACHUKIA SAN NA KWA NGUVU ZANGU ZOTE MWANAMKE KUCHEPUKA UWE UMEOLEWA AU MPENZI WAKO NACHUKIA NA NITAENDELEA KUCHUKIA...... hapa napo watu nikiandika wanahisi nawasema waooo.

Matokeo yake, zinatafutwa mbinu zakila aina kuninyamazisha ?[emoji23][emoji23][emoji23]..


Sasa watu wanamna hiyo wanavyokuka kuniattack kisa maudhui yangu niwafanyaje kama sio namm kuwaumbua tuu?? Kwakweli nitaendelea kumuumbua yoyote atakayeniletea ujinga ,subirin nirudi !!

Sasa ndo hayo yanayofanya watu waseme "Putiiin mubayaaa, putin mjingaaa ,sijui nn"


Aaahhhh ukijali yaJF yako..namm nitajali yaJF yangu .
Kwa hiyo kuna kundi la Watu linataka kukunyamazisha?

Basi nilipitwa!
Ila umeongea point moja ambayo kama pande zote mbili itazingatia kutwa hamna marumbano
"Kujali yako JF!"
Unafikiri hicho kikombe ulikishinda??
 
sema bhana ukweli acha utani.. a u the same Putin niliyekuwa namfahamu hapa JF? maana kama ni wewe utakuwa na nyota ya asali...kupendwa na wanawake wengi... na hivyo ukishaniambia ndie nitakuuliza swali lingine
Jje's kupendwa na wanawake wengi hakupaswi kua sifa kwa mwanaume , nasio kila kauli ya kupendwa inamaanisha, wengine wanakupenda simpo wanataka tu wakuachie wadudu wanaokula nyama kila moja ndan ya saa 24 !! ......am too young to die my dear!!!

Mie nmemshikia tuu jamaa nafasi yake ,ingawa unaweza kuniuliza swali nikalijib pia.
 
Jje's kupendwa na wanawake wengi hakupaswi kua sifa kwa mwanaume , nasio kila kauli ya kupendwa inamaanisha, wengine wanakupenda simpo wanataka tu wakuachie wadudu wanaokula nyama kila moja ndan ya saa 24 !! ......am too young to die my dear!!!

Mie nmemshikia tuu jamaa nafasi yake ,ingawa unaweza kuniuliza swali nikalijib pia.
hapana swali lilikuwa la Vladmir PUTIN bhana... tu close tu hii topic and thanks kwa ushirikiano wako.
 
Back
Top Bottom