fitonenendefu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 428
- 881
Maumivu ya kichwa huwa yaananza taratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna viwango kutegemeana na umri wa laini na transaction zako.. Na wenyewe voda ndio hukutumia ujumbe kwamba sasa unaweza kuhifadhi mpaka kiasi fulani.Acha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.
Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Voda ndio mwanzo kabisa walimwambia ni kweli imefungwaKosa la mteja. Bado anadunda tu kitaa. Ingekua kua upande w voda munge imba pambio ni wezi ni wezi hayo makampuni. Pia waziri nape anashirikia nayo
Soma kwa weledi. Amesema line iliyokuwa na pesa hakujuailipo hivyo akawaambia wairenewAcha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.
Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Nadhani tumpongeze maana kaonesha uwajibikaji
Unatakiwa ushtakiwe kwa kuharibu jina la kampuni. Uzembe wako ndio udhalilishe kampuni ya watu? Mpuuzi kweliWakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa
Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama
Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,
So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea
Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja
Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo
Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi
Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu
Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,
Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi
Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano
Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi
nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka
Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka
Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu
Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Ashtakiwe na nani sasaUnatakiwa ushtakiwe kwa kuharibu jina la kampuni. Uzembe wako ndio udhalilishe kampuni ya watu? Mpuuzi kweli
Nenda mahakamani mkuuUnatakiwa ushtakiwe kwa kuharibu jina la kampuni. Uzembe wako ndio udhalilishe kampuni ya watu? Mpuuzi kweli
Kilichokuponza ni negligence na kama ungefile suit ,ingekutokea kila penye tundu.Prudence is of the essence.Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa
Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama
Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,
So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea
Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja
Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo
Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi
Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu
Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,
Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi
Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano
Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi
nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka
Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka
Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu
Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Wewe ushatokewa kwenye kila tundu nini, inaonekana una uzoefuKilichokuponza ni negligence na kama ungefile suit ,ingekutokea kila penye tundu.Prudence is of the essence.
Pole sana mtoa uzi.. but kupitia huu uzi imedhihirisha kuwa wewe sio mvumilivu wa mambo pia una hasira za haraka na tabia za kukurupuka.. Next time think wise unapokutana na jambo lenye kuhitaji muda kutafakari na kulichunguza kabla ya kulipeleka public(overlap)... think wide unapotaka kufanya maamuzi ili kutoleta madhara hasi kwa watu wanaokuzunguka na jamii kwa ujumla baada ya maamuzi yako kufanyika..Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa
Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama
Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,
So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea
Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja
Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo
Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi
Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu
Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,
Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi
Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano
Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi
nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka
Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka
Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu
Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Mimi siyo mwanzilishi wa hiyo observation mkuuWewe ushatokewa kwenye kila tundu nini, inaonekana una uzoefu
Kwanza umesababisha usumbufu hasa kwa sisi ndugu zako, inabidi tukakae sehemu tuchome mbuzi kama wawili ili utuombe msamaha