Mrejesho wa Vodacom wamefungia line yangu yenye milioni 10 M pesa

Mrejesho wa Vodacom wamefungia line yangu yenye milioni 10 M pesa

WENGEEE LA HELAAAA 😀 😀 😀 😀 😀 sasa uwalipe vodaa.
 
Acha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.

Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Kuna viwango kutegemeana na umri wa laini na transaction zako.. Na wenyewe voda ndio hukutumia ujumbe kwamba sasa unaweza kuhifadhi mpaka kiasi fulani.

Na vile vile ndani ya voda kuna kitu kinaitwa Mpawa huko unaweka mpaka 10M na Mpesa pia 10M
Kuhusu line kaandika hivi nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka
 
Kosa la mteja. Bado anadunda tu kitaa. Ingekua kua upande w voda munge imba pambio ni wezi ni wezi hayo makampuni. Pia waziri nape anashirikia nayo
Voda ndio mwanzo kabisa walimwambia ni kweli imefungwa
 
Acha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.

Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Soma kwa weledi. Amesema line iliyokuwa na pesa hakujuailipo hivyo akawaambia wairenew
 
Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa

Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama

Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,

So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea

Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja

Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo

Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi

Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu

Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,

Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi

Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano

Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi

nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka

Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka

Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu

Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Unatakiwa ushtakiwe kwa kuharibu jina la kampuni. Uzembe wako ndio udhalilishe kampuni ya watu? Mpuuzi kweli
 
Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa

Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama

Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,

So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea

Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja

Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo

Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi

Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu

Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,

Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi

Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano

Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi

nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka

Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka

Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu

Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Kilichokuponza ni negligence na kama ungefile suit ,ingekutokea kila penye tundu.Prudence is of the essence.
 
Swal dogo mkuu

Ina maana line zako zote unatumia NYWILA MOJA au zinazofanana katika huduma ya mpesa?

Pia ulisema hapo nyuma kuwa ulienda Vodacom makao makuu salio lilokuwepo ila kutoa haikuwezekana je waliangalia kupitia namba gani ? Na wewe line uliifunga hvyo haikuwa hewan Wala kwenye simu

Majibu tafadhari
 
Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa

Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama

Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,

So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea

Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja

Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo

Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi

Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu

Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,

Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi

Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano

Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi

nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka

Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka

Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu

Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Pole sana mtoa uzi.. but kupitia huu uzi imedhihirisha kuwa wewe sio mvumilivu wa mambo pia una hasira za haraka na tabia za kukurupuka.. Next time think wise unapokutana na jambo lenye kuhitaji muda kutafakari na kulichunguza kabla ya kulipeleka public(overlap)... think wide unapotaka kufanya maamuzi ili kutoleta madhara hasi kwa watu wanaokuzunguka na jamii kwa ujumla baada ya maamuzi yako kufanyika..
 
Wewe umetumwa na vodacom kuja kuwasafisha baada ya kuonywa na TCRA kuweka pesa nyingi hivyo kwenye simu na hazifanyi kazi yoyote kwa muda mrefu
 
Back
Top Bottom