Mrejesho wa Vodacom wamefungia line yangu yenye milioni 10 M pesa

Mrejesho wa Vodacom wamefungia line yangu yenye milioni 10 M pesa

Acha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.

Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Wewe ndio uache kukaa kwa kukalili line unapoweka fedha zikifikia kiwango Cha juu unapandishwa daraja mfano

Tier 1 limit per transaction n 1m per day Ila ac isi zid 2m balance

Tier 2 limit per transaction n 5m per day balance limit 10M

Tier 3 ndio line za biashara ili uwe daraja ilo lazima upeleke I'd business license & tin # max balance n 50M
 
Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa

Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama

Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,

So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea

Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja

Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo

Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi

Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu

Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,

Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi

Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano

Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi

nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka

Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka

Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu

Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA
Kwa nini usingeanza kwa kueleza kosa lako, ndio kwanza unaeleza na upotevu wa pesa benki wakati unajua hakuna ukweli? Nani asiyejua wizi wa rais?
Hauna uaminifu! Na msamaha inaanza mwanzoni, sio mwisho mwa habari yako. Vodacom wana haki ya kukukaanga kwa uzushi huu.
 
Sasa kwa hekima hiyo hiyo elezea clearly unaomba radhi kwa vodacom na watanzania kwa jumla. Naona unazunguka zunguka tu. Tamka unaomba radhi na ni uzembe wako
Na kwa mtu anayewajibika kwa makosa yake angeanza na msamaha kwanza, sio kuweka mwisho wa bandiko lake.
 
Umakini na utulivu ni moja ya nguzo kubwa sanaa...

Hio pesa hata ingepotea, ingepotea kwa kukosa umakini kwako na sio Voda.
 
Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa

Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama

Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani,

So ishu inategemea umeweka hela benki gani au mtandao gani, kama benki haina afya au mtandao hauna afya hela inapotea

Nirudi kwenye mrejesho, kuna jamaa alinipa namba ya dada anayefanya kazi TCRA makao makuu, akanionyesha ushirikiano vizuri na kunipa namba ya mkuu wa kitengo kinachohusika na malalamiko ya wateja

Baada ya kuwasiliana na mkuu huyo wa kitengo akaniambia nirudi Vodacom na kama line yangu haitafunguliwa siku hiyo basi nimpigie nikiwa hapohapo

Nikaenda Vodacom asubuhi wakaniambia leo lazima niondoke na line yangu ikiwa inafanya kazi maana usumbufu ulikuwa umezidi

Nikasubiri mpaka saa tisa, najaribu kupiga bado haikubali. Jamaa akaniambia nichomoe line kwenye simu niwape wakaondoka nayo, siku zote hizo line nilikuwa sijawapa ile line bali nawatajia namba tu

Jamaa kurudi akaniambia lin iliyokuwa kwenye simu yangu wameiangalia na wameona haikuwa ile niliyowatajia na line hiyo inaonyesha niliifunga tarehe 12 mwezi wa pili,

Aisee nilishikwa na hisia tatu tofauti kwa wakati mmoja mshangao , furaha na kukosa pozi

Ni kweli kuwa tarehe 12 nilienda Vodacom na kufuta line moja ya Vodacom niliokuwa naitumia kwenye device ya intaneti,
Lakini kumbe ile line niliyoifuta niliichanganya na line iliyokuwa na hela sababu zote zinafanana muonekano

Sababu niliiweka kwenye simu na ikawa inasoma mnara vizuri, nikaona ipo sawa hadi nilipojaribu kupiga simu zikawa haziendi

nikamwaambia a renew ile line iliyokuwa na hela sababu nilikuwa sina uhakika na nilipoiweka

Jamaa akawa ananiuliza ilikuwaje nikachanganya line na kuwahangaisha kiasi kile, nikawapa pole ambayo hata hakuitikia.
Nikahakiki salio na kuchukua line yangu na kuondoka

Nimewajibika kuleta huu mrejesho sababu nilichangia kwa kiasi flani watu kukosa imani na Vodacom kwa sababu yangu

Pia soma: Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA

Mkuu mimi kidogo nikwambie Njoo tufungue kesi [emoji23]
 
Acha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.

Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Unasemaje wewe mm Ni mhanga wa kufuta usajili wa laini
Na nilienda tigo nikairenew
 
Acha kudanganya mkuu au unafikiri JF wote wanapenda hizo fix zako.. laini ukishaifuta usajili huwezi kuirenew tena.

Alafu swali lingine unalokwepa ni kwa vipi laini yako iwe na access ya kuhifadhi hadi milioni 10 wakati ni laini ya kawaida na sio ya biashara
Mimi laini yangu naweka Hadi 15m Hilo sio la kubishia labda kama Kuna lingine
 
Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi cha Magufuli kutokana na benki hizo kufilisika na waliokuwa na fedha humo kuzipata ikawa ni mtihani
Hakuna cent ya mteja inaweza kupotea Bank;
1. Pesa zote za wateja zina insurance policy+security
2. Bank zote zinakuwa monitored na BOT, in case bank imepotezqa sifa za kutrade, BOT wanao uwezo wa kuisimamia katika kipindi maalum chini ya uangalizi.
3. Kuna kiasi ambacho bank wanatakiwa wawe nacho kama mtaji ili kufanya operation.
Concl.
Bado bank ni safe place kuhifadhi pesa ambazo hazipo kwenye mzunguko wako wa pesa, ingawa njia bora kbs ni kuinvest kwenye ununuzi wa bonds na securities kama unaijua vema biashara hiyo. Kama huna idea endelea kuweka pesa bank.
 
Back
Top Bottom