Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Pole sana, hivi kumbe mnapowekaga mabandiko humu ndani ya kutafuta wachumba huwa mko serious kabisaaaaaaa!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahaaa unafikili wanatania kama wewe
 
All the best in your new mission!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti suruali za kanda bongoman!
Nimependa feedback yako.

Its mature.

Hujawasema vibaya. Ukute ni vijitu vya ovyo na misuruali ya kanda bongo man lkn hujasema....

Wish you luck Mama.
 
Sehemu pekee unayoweza kupata mwenza ni mahali unapoishi maana hapo ndo tabia yako inapofahamika zaidi.
 
Kama uko serious ni-check pm.
 
sio siri umeandika kama mwanamke
 
kwa hiyo unataka mkikubaliana leo kesho iwe ndoa? we vipi
 
Maweeee kila siku uko lindo eti?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipo kwenye daladala auntie nacheka mwenyewe kama chizi ujue lindo linakuwaga siku mbili kila baada ya week
 
Kila la Heri mdau tupo pamoja hatua kwa hatua bega kwa bega voice(ccm)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…