Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Nyie ndo mnajifanya mnabana Sana mpaka ndoa.

Kisha mnaanza kuleta mirejesho yenu ya kijinga.
"Mme wangu, bao moja TU analala usingizi"

Kwanini msitesti mitambo kabla, kwani kikigongwa kinaisha icho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dia usiende mitandaoni, wengi walioko huko sidhani kama nia ni ndoa Bali sex, hata hao wa mbele hakuna kitu. Shoga yangu yeye ana mipesa alikuwa akilipia zile za bei kubwa, alivyonisimulia nilichoka.

Labda ninge kuambia kitu, ila hapa macho mengi.

All in all polee
But inategemea, Kan huwez ukapata nguo nzur ya mtumba na yenye thaman Sawa na ya nguo ya dukan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.

Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana Magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.

Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.

Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.

Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Huna sababu ya kwenda bank Kwa sasa. Mpesa wameanza huruma inayokuwezesha kufunguwa akaunti ya MasterCard ya mtandao na unaweza kulipia via Mpesa chochote kilichopo kwenye mitandao.

Tahadhari; Online datings ya popote duniani si salama.

Kama upo serious nenda msikiti wa karibu ya kwenu onana na Imam wa hapo, mpe vigezo vya mume umtakae. In sha Allah utafanikiwa.
 
Huna sababu ya kwenda bank Kwa sasa. Mpesa wameanza huruma inayokuwezesha kufunguwa akaunti ya MasterCard ya mtandao na unaweza kulipia via Mpesa chochote kilichopo kwenye mitandao.

Tahadhari; Online datings ya popote duniani si salama.

Kama upo serious nenda msikiti wa karibu ya kwenu onana na Imam wa hapo, mpe vigezo vya mume umtakae. In sha Allah utafanikiwa.
Ushauri wa hovyo huu, imam si unamtafutia K ya bure
 
Ushauri wa hovyo huu, imam si unamtafutia K ya bure
Katika Uislam hakuna hicho unachokisema. Hata Imam akitaka kuoa ni lazima atowe mahari. Mahari Kiislam ni ya anae olewa.
 
Wadada badirikeni...

1. Punguzen njaa, unamgeuza mwanaume baba yako na sio mchumba wako. Kinachofuata ni kumegwa na kuachwa holela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna sababu ya kwenda bank Kwa sasa. Mpesa wameanza huruma inayokuwezesha kufunguwa akaunti ya MasterCard ya mtandao na unaweza kulipia via Mpesa chochote kilichopo kwenye mitandao.

Tahadhari; Online datings ya popote duniani si salama.

Kama upo serious nenda msikiti wa karibu ya kwenu onana na Imam wa hapo, mpe vigezo vya mume umtakae. In sha Allah utafanikiwa.
kumbe ma sheikh sikuizi ni madalali wa wanawake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna sababu ya kwenda bank Kwa sasa. Mpesa wameanza huruma inayokuwezesha kufunguwa akaunti ya MasterCard ya mtandao na unaweza kulipia via Mpesa chochote kilichopo kwenye mitandao.

Tahadhari; Online datings ya popote duniani si salama.

Kama upo serious nenda msikiti wa karibu ya kwenu onana na Imam wa hapo, mpe vigezo vya mume umtakae. In sha Allah utafanikiwa.
Na kanisani je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom