Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Mrema amewahi kumiliki hekalu la kifahari meneo ya kawe beach na baade kuliuza kwa mzungu mmoja hivi ana mke mswahili kwa Jina la Killy Janga.

Amewahi kumiliki hekalu moja kali likiwa na nyumba yake ndogo maeneo ya Mbezi africana karibuna Juliana Night club maarufu kwa mama Mangapi RIP au mama nccr mageuzi.

Mzee alikuwa na asset sema kutokana na maisha ya wastaafu wengi na haswa kujiingiza kwenye siasa za upinzani alijikuta akiziuza muda mwingine kusaidia shughuli za chama.

Hata mze3 cheyo baada ya kuingia upinzani utajiri wake ulishuka sana, Hata marehemu Bob makani ukwasi ulishuka sana baada ya kuingia ufipani.

Maisha ya wastaafu Tanzania si rafiki sana yako very hostile.
Hili liwe somo kwetu tuliobaki
 
Kumpigia hesabu ya kila senti huo utakuwa umbea,tunajua mafao ya mbunge,maslahi ya waziri na mshahara wa afisa kipenyo
Weka wazi hizo unazojua in figures ili hesabu zipigwe.
Leta thamani ya mali alizoacha marehemu ili ukweli ujulikana.
Usitulazimishe kuwa wambea!
Umeanzisha uzi, leta data mezani
 
acheni kumsimanga marehemu kwani mlitaka awe na nini kama nyumba anayo watoto wanesoma mengine ni ziada bwashee huenda alusaidia wasiojiweza siyo kama wengine wanaojilimbikizia mali utafikri wataishi milele hela zao badala ya kusaidia masikini wao nikuhonga wanawake ambao hao wanawake wabamaisha mazuri. nakubali mzee mrema alikuwa mjamaa
 
Weka wazi hizo unazojua in figures ili hesabu zipigwe.
Leta thamani ya mali alizoacha marehemu ili ukweli ujulikana.
Usitulazimishe kuwa wambea!
Umeanzisha uzi, leta data mezani
Kuna mtu hapo juu kasema aliwahi kumiliki mahekalu kawe beach na mbezi beach akayauza,jibu tumelipata siasa zilimfilisi
 
acheni kumsimanga marehemu kwani mlitaka awe na nini kama nyumba anayo watoto wanesoma mengine ni ziada bwashee huenda alusaidia wasiojiweza siyo kama wengine wanaojilimbikizia mali utafikri wataishi milele hela zao badala ya kusaidia masikini wao nikuhonga wanawake ambao hao wanawake wabamaisha mazuri. nakubali mzee mrema alikuwa mjamaa
Siasa zilimfilisi ila alijitahidi kuamsha upinzani nchii hii,hakuna tunachomdai
 
Kuna mtu hapo juu kasema aliwahi kumiliki mahekalu kawe beach na mbezi beach akayauza,jibu tumelipata siasa zilimfilisi
Aliuza shilingi ngapi? Nani alikuwa shahidi?
Anyway... mali za mtu ni mali za mtu! Tusitake kujua zaidi!

NB: Kuna hoja mbili umetaja - afisa kipenyo na siasa za upinzani. Manyang'au ya ccm hayawawezi kukuacha salama wewe na mali zako ukisaliti kambi!
 
Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Viongozi wetu wengi pesa zinamalizwa na waganga wa kienyeji na wapambe
 
Mrema amewahi kumiliki hekalu la kifahari meneo ya kawe beach na baade kuliuza kwa mzungu mmoja hivi ana mke mswahili kwa Jina la Killy Janga.

Amewahi kumiliki hekalu moja kali likiwa na nyumba yake ndogo maeneo ya Mbezi africana karibuna Juliana Night club maarufu kwa mama Mangapi RIP au mama nccr mageuzi.

Mzee alikuwa na asset sema kutokana na maisha ya wastaafu wengi na haswa kujiingiza kwenye siasa za upinzani alijikuta akiziuza muda mwingine kusaidia shughuli za chama.

Hata mze3 cheyo baada ya kuingia upinzani utajiri wake ulishuka sana, Hata marehemu Bob makani ukwasi ulishuka sana baada ya kuingia ufipani.

Maisha ya wastaafu Tanzania si rafiki sana yako very hostile.
Au ndio maana Mbowe kaamua kurudi ule upande mwingine baada ya kuona siasa zitamfirisi?
 
Agustino alikuwa mzalendo wa kweli.

Wakati fulani miaka ya 199s alinunua lami mapipa kwa mapipa akiwa na lengo la kusaidiwa na Serikali ili aweke lami barabara ya kilalacha ambapo kuna hospitali na mortuary ya kilema,

Zoezi halikufanikiwa yale mapipa ya lami yakakaukia kule kando ya barabara,

Alifanya mengi, hata kutetea wanyonge.

Sijui hata kilichomfanya aoe huenda angekula kula hapo.
 
Mrema amewahi kumiliki hekalu la kifahari meneo ya kawe beach na baade kuliuza kwa mzungu mmoja hivi ana mke mswahili kwa Jina la Killy Janga.

Amewahi kumiliki hekalu moja kali likiwa na nyumba yake ndogo maeneo ya Mbezi africana karibuna Juliana Night club maarufu kwa mama Mangapi RIP au mama nccr mageuzi.

Mzee alikuwa na asset sema kutokana na maisha ya wastaafu wengi na haswa kujiingiza kwenye siasa za upinzani alijikuta akiziuza muda mwingine kusaidia shughuli za chama.

Hata mze3 cheyo baada ya kuingia upinzani utajiri wake ulishuka sana, Hata marehemu Bob makani ukwasi ulishuka sana baada ya kuingia ufipani.

Maisha ya wastaafu Tanzania si rafiki sana yako very hostile.
Bob Nyanga Makani hakuwahi kua tajiri.
 
Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Marehemu labda alikuwa anapenda TOTOS
 
Agustino alikuwa mzalendo wa kweli.

Wakati fulani miaka ya 199s alinunua lami mapipa kwa mapipa akiwa na lengo la kusaidiwa na Serikali ili aweke lami barabara ya kilalacha ambapo kuna hospitali na mortuary ya kilema,

Zoezi halikufanikiwa yale mapipa ya lami yakakaukia kule kando ya barabara,

Alifanya mengi, hata kutetea wanyonge.

Sijui hata kilichomfanya aoe huenda angekula kula hapo.
Unamaanisha asingeoa angeweza kuishi zaidi?
 
Naskia Alikiba ile nyimbo ya "Mungu akupe nini macmuga" alimuimbia mzee
 
Back
Top Bottom