Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.

@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)


 
Nothing is real nowadays

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu..kama wanawake wenyewe mitaani wanajichubua ili waonekane weupe halafu wanavaa vigodoro ili waonekane wana tako
Ukifika naye chumbani akivua kila kitu ukimuangalia mpaka mbo o inanywea kabisa unabaki kujiuliza hivi nimetongoza nini hiki?!!!![emoji38]
 
Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.

@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)


View attachment 2865970
Kwa hiyo mpaka uli coach kwa computer?
 
Back
Top Bottom