Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.

@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)


View attachment 2865970
Just kutoa confusion hio sio AI huyo ni binadamu ila amefanyiwa deepfake/faceswap, AI Bado haijakua na uwezo huo.

Deepfake inatumika sana tu Sasa hivi hata kwenye movies,
 
Hatari sana hii AI. Kuna mmoja alitengeneza mrembo wa Kikorea. Alionyesha youtube jinsi alivyomtengeneza ili kila wakati awe vilevile bila kubadilika. Watu kibao wakaanza kumiminika kumtaka.
 
Back
Top Bottom