Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Wee ukute karefu, kiuno kidogo dogo, mweupe au maji ya kunde.Hahaha ๐๐๐
๐Aiseee navurugwa kichwa๐คฃ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ukute karefu, kiuno kidogo dogo, mweupe au maji ya kunde.Hahaha ๐๐๐
Chukua sabuni ya 100 tu, uta ishi nae utakavyoNampataje huyu?
Just kutoa confusion hio sio AI huyo ni binadamu ila amefanyiwa deepfake/faceswap, AI Bado haijakua na uwezo huo.Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.
@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)
View attachment 2865970
Sababu ni binadamu halisi sio AiKwanini nyonyo zimelala?
Ooh my God ๐คฆโโ๏ธ๐คฆโโ๏ธ.. Yani sina hata moja kati ya hizo๐ฅ๐ฅ๐Wee ukute karefu, kiuno kidogo dogo, mweupe au maji ya kunde.
๐Aiseee navurugwa kichwa๐คฃ๐๐๐
Bora hiyo utaonekana bado rijali,kuliko watengeneze kidume unaliwa kiboga.utazimia kabisa kama sio kufaWabaya wako, wanakutengenezewa kavideo unakula tunda kimasihara.
Mloganzila zina patikana ๐๐คฃ๐๐Ooh my God ๐คฆโโ๏ธ๐คฆโโ๏ธ.. Yani sina hata moja kati ya hizo๐ฅ๐ฅ๐
Sabuni ni ya kufulia nguoChukua sabuni ya 100 tu, uta ishi nae utakavyo
Kwakweli wacha niende tu, sina namna๐๐๐Mloganzila zina patikana ๐๐คฃ๐๐
Mi natania tu, ujue mi mwenyewe napenda natural.Kwakweli wacha niende tu, sina namna๐๐๐
Jamaa huyu alitengeneza Mtu wa AI wa kushangaza sana.Just kutoa confusion hio sio AI huyo ni binadamu ila amefanyiwa deepfake/faceswap, AI Bado haijakua na uwezo huo.
Deepfake inatumika sana tu Sasa hivi hata kwenye movies,
Unadhani naogopaga mtu sasa nikipanga jambo langu ๐๐๐๐คMi natania tu, ujue mi mwenyewe napenda natural.
๐We jidanganye uende kisa maneno ya intelli ๐๐คฃ๐ค, vile vitu vina effect ๐๐คฃ
Katuni anazaaje sasaOy anauwezo wa kuzaa huyo????
Natural Ina Raha yake, hata sensitivity iko juu๐๐.Unadhani naogopaga mtu sasa nikipanga jambo langu ๐๐๐๐ค
Jamaa huyu alitengeneza Mtu wa AI wa kushangaza sana.
View: https://youtu.be/nc9kq9ZkNV8?si=0T5X0B3NAbbjHmcl
Haya sawa siendiNatural Ina Raha yake, hata sensitivity iko juu๐๐.
๐Hata Kama kadogo, Nita gusa hivo hivo ๐๐
Ewaaa, lee j ๐๐๐๐Haya sawa siendi
Nimecheka sanaaaaOy anauwezo wa kuzaa huyo????