Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

Mnatupiga fix, huyo sio robot, huyo ni mwanadamu wa kawaida tu, teknolojia bado haijafikia huko wazee.. Robot la mwisho nakumbuka ni yule wa alipewa na uraia wa dubai sijui, jina limenitoka.
 
Picha sio issue, tunaongelea animation ambazo zipo smooth kama video ya mtoa mada, hizo haziwezekani kwa AI.
Kwa nini ushindikane kwa A.I, kama tu CGI inafanya yote hayo, kwa nini A.I ishindwe.... nenda kwenye accounts ya huyo mdada wa A.I alafu ulete majibu hapa kama ni face swap.... Face swap zinajulikana. Hao waliosema hiyo ni A.I sio vilaza, ni watu wenye utaalamu wa motion pictures

Waswahili wanasema hakuna linaloshindikana chini ya jua, msemo huo una maana yake...

Teknolojia sasa hivi imekuwa Advanced, nenda YouTube katafute Movies generated by A.I, zipo kibao... Sasa kama A.I inatengeneza Movies ya zaidi ya nusu saaa yenye watu na video smooth... Kwa nini ishindwe kwa Video ya dakika 1 ya ku-upload instagram.

Broda sio kwamba A.I inashindwa, ni wewe tu hujafanya research vizuri kujua uwepo wake....
 
Mnatupiga fix, huyo sio robot, huyo ni mwanadamu wa kawaida tu, teknolojia bado haijafikia huko wazee.. Robot la mwisho nakumbuka ni yule wa alipewa na uraia wa dubai sijui, jina limenitoka.
Nani kasema huyo ni Robot.... Soma tena upya uelewe

Huyo dada sio mtu halisi, na hayupo Duniani... Hiyo ni video imetengenezwa na A.I na kupostiwa kwenye hiyo page ya instagram... Mastaa na matajiri wanajua ni demu wa kweli, kumbe ni video generated by A.I... lakini ukiitizama unaweza jua ni demu halisi
 
Kwa nini ushindikane kwa A.I, kama tu CGI inafanya yote hayo, kwa nini A.I ishindwe.... nenda kwenye accounts ya huyo mdada wa A.I alafu ulete majibu hapa kama ni face swap.... Face swap zinajulikana. Hao waliosema hiyo ni A.I sio vilaza, ni watu wenye utaalamu wa motion pictures

Waswahili wanasema hakuna linaloshindikana chini ya jua, msemo huo una maana yake...

Teknolojia sasa hivi imekuwa Advanced, nenda YouTube katafute Movies generated by A.I, zipo kibao... Sasa kama A.I inatengeneza Movies ya zaidi ya nusu saaa yenye watu na video smooth... Kwa nini ishindwe kwa Video ya dakika 1 ya ku-upload instagram.

Broda sio kwamba A.I inashindwa, ni wewe tu hujafanya research vizuri kujua uwepo wake....
Umewahi tumia hizo AI? Kugenerate tu picha ya kawaida it take time, video sekunde ni picha si Chini ya 24, Tena picha ziwe kwenye sequence. Zipo video za Ai ila motion yake inajulikana sio smooth kama hio. Hio ni deepfake.

Mfano deepfake imetumika movie Fulani ya Aamir Khan kumfanya SRK awe mdogo kama hapa


View: https://m.youtube.com/watch?v=L1u1U_WnDVM

Sina haja ya kwenda huko, nioneshe huyo mtaalamu aliosema hio video imekuja generated na AI.
 
Umewahi tumia hizo AI? Kugenerate tu picha ya kawaida it take time, video sekunde ni picha si Chini ya 24, Tena picha ziwe kwenye sequence. Zipo video za Ai ila motion yake inajulikana sio smooth kama hio. Hio ni deepfake.

Mfano deepfake imetumika movie Fulani ya Aamir Khan kumfanya SRK awe mdogo kama hapa


View: https://m.youtube.com/watch?v=L1u1U_WnDVM

Sina haja ya kwenda huko, nioneshe huyo mtaalamu aliosema hio video imekuja generated na AI.

Mzee baba kwani unaelewa nini maana ya Deepfakes na A.I

Kwanza unatakiwa kujua Deepfakes pia ni Artificial Intelligence (A.I). Deepfake ni machine learning language and techniques kama zilivyo A.I nyingine.


Huyo bi dada sio mtu halisi, katengenezwa na Chat GPT. Na hakuna mtu nyuma ya camera aloyebadilishwa sura. Teknolojia inazidi kuwa advanced na A.I zinazidi kuwa nyingi. Hivyo pia husikariri mtindo mmoja tu wa ubunifu wa Deepfakes na A.I. watu kila siku wanaumiza vichwa kuboresha A.I zizidi kuwa bora. Hivyo taarajia kushangazwa zaidi. Ila fahamu fika hakuna mtu nyuma ya huyo dada aliyefanyiwa Deepfake, bali huyo ni A.I kabisaaaaaaa


VYANZO
1. Celebrities And Millionaires Fall For Instagram Model Created By AI, Send Her Flirty Texts.
2. Who is Emily Pellegrini? The AI-created model that sports stars and confused millionaires are trying to flirt with.
3. AI-generated beauty Emily Pellegrini sparks frenzy among high-profile athletes.
5. Celebrities And Millionaires Fall For Instagram Model Created By AI, Send Her Flirty Texts.
6. Who is Emily Pellegrini? The AI-created model that sports stars and confused millionaires are trying to flirt with.
7. AI-generated beauty Emily Pellegrini sparks frenzy among high-profile athletes.
8. What are deepfakes – and how can you spot them? - The Guardian
9. What Are Deepfakes and How Are They Created? - IEEE Spectrum
10. Deepfake - Wikipedia
11. What are ‘deepfakes’ and how they might be dangerous - CNBC
 
Nani kasema huyo ni Robot.... Soma tena upya uelewe

Huyo dada sio mtu halisi, na hayupo Duniani... Hiyo ni video imetengenezwa na A.I na kupostiwa kwenye hiyo page ya instagram... Mastaa na matajiri wanajua ni demu wa kweli, kumbe ni video generated by A.I... lakini ukiitizama unaweza jua ni demu halisi
Hapo sasa nimeelewa,
 
Mzee baba kwani unaelewa nini maana ya Deepfakes na A.I

Kwanza unatakiwa kujua Deepfakes pia ni Artificial Intelligence (A.I). Deepfake ni machine learning language and techniques kama zilivyo A.I nyingine.


Huyo bi dada sio mtu halisi, katengenezwa na Chat GPT. Na hakuna mtu nyuma ya camera aloyebadilishwa sura. Teknolojia inazidi kuwa advanced na A.I zinazidi kuwa nyingi. Hivyo pia husikariri mtindo mmoja tu wa ubunifu wa Deepfakes na A.I. watu kila siku wanaumiza vichwa kuboresha A.I zizidi kuwa bora. Hivyo taarajia kushangazwa zaidi. Ila fahamu fika hakuna mtu nyuma ya huyo dada aliyefanyiwa Deepfake, bali huyo ni A.I kabisaaaaaaa


VYANZO
1. Celebrities And Millionaires Fall For Instagram Model Created By AI, Send Her Flirty Texts.
2. Who is Emily Pellegrini? The AI-created model that sports stars and confused millionaires are trying to flirt with.
3. AI-generated beauty Emily Pellegrini sparks frenzy among high-profile athletes.
5. Celebrities And Millionaires Fall For Instagram Model Created By AI, Send Her Flirty Texts.
6. Who is Emily Pellegrini? The AI-created model that sports stars and confused millionaires are trying to flirt with.
7. AI-generated beauty Emily Pellegrini sparks frenzy among high-profile athletes.
8. What are deepfakes – and how can you spot them? - The Guardian
9. What Are Deepfakes and How Are They Created? - IEEE Spectrum
10. Deepfake - Wikipedia
11. What are ‘deepfakes’ and how they might be dangerous - CNBC
Nimekuambia umtaje huyo mtaalam hapo umeweka links za layman tu.
Deep fake inachofanya ni kubadili Sura ila movement hazifanywi na Ai hivyo huyo ni binadamu tu kama binadamu mwengine amebadilishwa Sura,

Mtaalam yoyote akiangalia hio video anajua, tafuta tech forum yoyote ipeleke hio video utapewa hili jibu.
 
Nothing is real under the sun, even this world is fake
 
Nimekuambia umtaje huyo mtaalam hapo umeweka links za layman tu.
Deep fake inachofanya ni kubadili Sura ila movement hazifanywi na Ai hivyo huyo ni binadamu tu kama binadamu mwengine amebadilishwa Sura,

Mtaalam yoyote akiangalia hio video anajua, tafuta tech forum yoyote ipeleke hio video utapewa hili jibu.
Mzee baba wewe utakuwa ni Muha... Ulichokariri wewe unataka na wengeni wakariri...

Sasa kama huyo ni Deep fake ya mtu mwingine, tuletee huyo mtu aliyefanyiwa deep fake...

Maana nimekupa source zote za kuaminika zaidi ya 10, ila bado umekaza fuvu. Waliotengeneza account na kupost hizo video wanasema imetengezwa na A.I ya chat GPT ila wewe unakaza fuvu na kusema huyo ni mtu halisi ila kanadilishwa sura
 
Tuongeze kuzaa hawa AI wanataka kutupiku...
 
Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.

@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)


View attachment 2865970
Tulikuwa tunamcheka Eron Musk demu wake roboti, ndio hayo sasa😄
 
Mzee baba wewe utakuwa ni Muha... Ulichokariri wewe unataka na wengeni wakariri...

Sasa kama huyo ni Deep fake ya mtu mwingine, tuletee huyo mtu aliyefanyiwa deep fake...

Maana nimekupa source zote za kuaminika zaidi ya 10, ila bado umekaza fuvu. Waliotengeneza account na kupost hizo video wanasema imetengezwa na A.I ya chat GPT ila wewe unakaza fuvu na kusema huyo ni mtu halisi ila kanadilishwa sura
Wewe umesema Kuna wataalamu wamesema hivyo nimekuambia source ya huyo mtaalamu hujaweka, usifikiri kitu kikitoka CNN basi kina Qualify hapo hapo kuwa mtaalamu.

Kama hufahamu mkuu movie moja tu ya Avatar ama animation gharama yake ni mamia ya mabilioni Hadi trilioni, kinachoongeza hizo gharama ni hizo animation na Mashamba ya kurender hizo frame.

Kama unatuambia hio video imetengenezwa na AI ni tusi kubwa kwa hizo studio na watengeneza Filamu wengine kuwaambia wanapoteza Hela nyingi wakati wangetumia tu AI kutengeneza hizo frame.

Kifupi Ai Haina uwezo wa kurender hio video, Kuna video nyingi za Ai tunazifahamu, ila hazipo smooth hivyo frame zake.

Hio video ni binadamu halisi ametembea ambaye ni model then wakabadili sura simple like that, ndio maana nikakwambia ni deepfake, hizo video zipo kibao na deepfake inatumika siku nyingi tu kama video niliokuekea juu ya SRK.

Wanachifanya hapo wanawachota tu nyie layman sababu hamjui capability za AI mnaamini Kila mnachoambiwa.
 
Back
Top Bottom