Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

da!!!! kazi kwelikweli!!
 
Balaa la web 3, sijui tukifika web 4 itakuwaje
 
Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.
Wale wa Sudan waliopo Muhimbili walioihamisha Dodoma yote wameishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…