[emoji2][emoji2]Duh! Hatari sana, huyo atakuwa jini.
Leejay mloganzila Ume endaππ€Watengeneze na wakaka wazuri wazuri
HahahahahaWatengeneze na wakaka wazuri wazuri
the sad news is AI ita replace kazi za degree holder wote!AI litakuja kuwa ni tatizo kubwa sana, japo faida nazo ni nyingi
da!!!! kazi kwelikweli!!Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.
@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)
View attachment 2865970
Hahahahaha, ina maana mwanaume ni dealDah wanawake wanapigwa vita kweli haha wanapambana na mashoga wanachukua nafasi Zao bado na midoli kwakweli ni hatari
Hii AI inaweza kuja kuwa mwiba mkali kwenye ushahidi wa kutengenezwaWabaya wako, wanakutengenezewa kavideo unakula tunda kimasihara.
Vita ni vita hii dunia 200 years uko mbele sjui itakua na mtazamo upithe sad news is AI ita replace kazi za degree holder wote!
Nilitaka niende naona watu wananitishia tishia, nimeghairi ππ€Leejay mloganzila Ume endaππ€
Nenda best angu, angalau na Mimi nipate pa kushikaπππ€£π€£Nilitaka niende naona watu wananitishia tishia, nimeghairi ππ€
Ndo ivo man, wanawake maji shingoni,itafikia kipindi njemba ilikubadili radha lina oa mwanamke pia na shoga wote wanaishi pamoja na jamaa linawapangia zamu kama wake zake hatari sana johHahahahaha, ina maana mwanaume ni deal
Ngoja niendelee kuzichanga kwanza... Maana nilibadili maamuzi kipindi kile hela nikaitumiaππNenda best angu, angalau na Mimi nipate pa kushikaπππ€£π€£
Usiende bhana, ma slim curvy girl mna dunia yenuπππππNgoja niendelee kuzichanga kwanza... Maana nilibadili maamuzi kipindi kile hela nikaitumiaππ
Hahaha πππUsiende bhana, ma slim curvy girl mna dunia yenuπππππ
Wale wa Sudan waliopo Muhimbili walioihamisha Dodoma yote wameishia wapiMrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.