Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Wee ukute karefu, kiuno kidogo dogo, mweupe au maji ya kunde.Hahaha πππ
Chukua sabuni ya 100 tu, uta ishi nae utakavyoNampataje huyu?
Just kutoa confusion hio sio AI huyo ni binadamu ila amefanyiwa deepfake/faceswap, AI Bado haijakua na uwezo huo.Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania.
@emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa na uhalisia kabisa, ajabu ni kuwa si binadamu halisi, bali ametengenezwa na AI (Artificial Intelligence)
View attachment 2865970
Sababu ni binadamu halisi sio AiKwanini nyonyo zimelala?
Ooh my God π€¦ββοΈπ€¦ββοΈ.. Yani sina hata moja kati ya hizoπ₯π₯πWee ukute karefu, kiuno kidogo dogo, mweupe au maji ya kunde.
πAiseee navurugwa kichwaπ€£πππ
Bora hiyo utaonekana bado rijali,kuliko watengeneze kidume unaliwa kiboga.utazimia kabisa kama sio kufaWabaya wako, wanakutengenezewa kavideo unakula tunda kimasihara.
Mloganzila zina patikana ππ€£ππOoh my God π€¦ββοΈπ€¦ββοΈ.. Yani sina hata moja kati ya hizoπ₯π₯π
Sabuni ni ya kufulia nguoChukua sabuni ya 100 tu, uta ishi nae utakavyo
Kwakweli wacha niende tu, sina namnaπππMloganzila zina patikana ππ€£ππ
Mi natania tu, ujue mi mwenyewe napenda natural.Kwakweli wacha niende tu, sina namnaπππ
Jamaa huyu alitengeneza Mtu wa AI wa kushangaza sana.Just kutoa confusion hio sio AI huyo ni binadamu ila amefanyiwa deepfake/faceswap, AI Bado haijakua na uwezo huo.
Deepfake inatumika sana tu Sasa hivi hata kwenye movies,
Unadhani naogopaga mtu sasa nikipanga jambo langu ππππ€Mi natania tu, ujue mi mwenyewe napenda natural.
πWe jidanganye uende kisa maneno ya intelli ππ€£π€, vile vitu vina effect ππ€£
Katuni anazaaje sasaOy anauwezo wa kuzaa huyo????
Natural Ina Raha yake, hata sensitivity iko juuππ.Unadhani naogopaga mtu sasa nikipanga jambo langu ππππ€
Picha sio issue, tunaongelea animation ambazo zipo smooth kama video ya mtoa mada, hizo haziwezekani kwa AI.Jamaa huyu alitengeneza Mtu wa AI wa kushangaza sana.
View: https://youtu.be/nc9kq9ZkNV8?si=0T5X0B3NAbbjHmcl
Haya sawa siendiNatural Ina Raha yake, hata sensitivity iko juuππ.
πHata Kama kadogo, Nita gusa hivo hivo ππ
Ewaaa, lee j ππππHaya sawa siendi
Nimecheka sanaaaaOy anauwezo wa kuzaa huyo????