Mrembo maserati interview! Live

Nae kakosea sana kuendelea kujibu vitu vya ajabu namna ile maswali hayaendani na hadhi yake kabisa.
 
Nahisi kama mtu mmoja mwenye ID mbili.......!

Au watu wawili wenye jinsia aina moja!
Kitendo cha kuendelea kujibu maswali ya kipuuzi namna ile hata mi naanza kuhisi ni mtu yuleyule anajiuliza maswali na kujijibu. Sio hali ya kawaida aisee
 
mnaolalamika maswali hayaendani na hadhi yake mnanichekesha sana, mbona muulizwaji anajibu... sa nyie mnaumia nini[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…