Mrembo namba moja nchini(Diva-Loveness-Love) atokwa na machozi baada ya kushuhudia wananchi wakigombania daladala

Kashapata mume na mahari yake ya milioni mia?
 
Huyu Dada ana matatizo ya akili. Mshaurini aende kwa wataalam kupata msaada zaidi. Pia mleta mada una tatizo nadhani la akili, mrembo namba moja nchini? Ana uzuri gani ? You must be out of your gad damn mind!!
 
Hajawahi panda daladala halafu analiwa na kiba wa kariakoo.

Sura lake kama chapati ya mama sikujua
 
Diva alishawahi kufukuzwa hadi kwenye nyumba aliyopanga kwa kushindwa kulipa kodi na mwenye nyumba aliamua tu kusamehe. Basi namuangaliaga nacheka tu. Hamna mtu anaigiza maisha kama huyu Diva
 
Huyu nae khaaaa kujiona huko kwiooooh, km wema nae alitoa maneno kuwa bila gari sijui angefanya matembezi vipi na blah blah nyingi msieeeeeew zao.
 
Yan mbwa huuy nataman kumpiga makofi mxieew na angekua na hayo maisha mazuri Sijui ingekuaje fala huyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu umechafukwa hivi lol.
 
Hata mimi niliona watu wanakula mihogo nilisikitika sana aisee. Yaani maisha yangu yote hapa Kariakoo nilikuwa sijawahi kuona mihogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Mtoa mada kama huyo dada ni mrembo namba moja basi una Makengeza...
 
Diva alishawahi kufukuzwa hadi kwenye nyumba aliyopanga kwa kushindwa kulipa kodi na mwenye nyumba aliamua tu kusamehe. Basi namuangaliaga nacheka tu. Hamna mtu anaigiza maisha kama huyu Diva
Wasanii wengi ndio zao kufake life sijui ili iweje khaaaah
 
Kiki za muhaya mwenzako huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…