Mrembo Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Masoud Kipanya

Huyu mwanadada alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuigiza. Aliigiza vizuri sana filam ya magic house na kanumba na pia kwenye ule wimbo wa prof. Jay. Lakini aliishia kufanya movie 3 tu. Nadhani aligundua sanaa ya bongo ni kazi ya kipumbavu.
Ndo yule wa woman of principles
 
πŸ’―πŸ€
 
Hiyo sio nyota bali ni ulimbukeni. Mtu anayetoka katika familia maskini akipata kidogo inakuwaga shida
 
So what!
 
Mzee alikuwa kauzu kinoma hataki watu wale starehe kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio wale wazee wanaosema mtoto hana ruhusa kula firigisi
 
Mzee alikuwa kauzu kinoma hataki watu wale starehe kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio wale wazee wanaosema mtoto hana ruhusa kula firigisi
Hahaha..............na hakuna aliyeweza kufikia Idadi yake hata kama umeanza kudate baada ya barehe πŸ˜…
 
Sasa huyo Muuza mwili kwani ni kipanya tu aliyepita nae?
 
Sasa Masoud zama hizo akiwa na Nargis, alitoa wapi hela ilihali alikuwa hana ile kampuni ya Motors?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…