Una laana wewe, ntakuitia mgerasi ujueπππUlikuwa unatisha ni mkubwa afu mweusi mno km kambale πππ
Huyu atakuwa alisahau kuweka "n" Moja huyuπ€£π€£π π€£π€£itakuwa alikuwa ananitaka Mimi eti Extrovert ulimtaka J Mimi au J huyu?Nimecheka
Mie lini nimeongelea utajiri wa mwanaume?ama umechanganya IDs?
Sijawahi kuwa muumini wa pesa za kupewa na mwanaume
Yaani mi na ushangazi wangu nivunjiwe mahusiano na Kindergarten jamani??sio kweliSi ndio amevunja mahusiano?
Naona amekujaza upepo hadi ukaniacha
Huyu atakuwa alisahau kuweka "n" Moja huyuπ€£π€£π π€£π€£itakuwa alikuwa ananitaka Mimi eti Extrovert ulimtaka J Mimi au J huyu?
Wewe mtu sana wewe, kwa hii tabia nitajikakamua upate hata RaumYani hata alipoandika 'kuteseka sio sifa' sio mimi kabisaaaa π
Itakuwa kasahau kuongeza n...manake sinaga 'itikadi' za utajiri wa wanaume aseee
πππ kwan mmeachana?Si ndio amevunja mahusiano?
Naona amekujaza upepo hadi ukaniacha
Nakuamini sana kwenye hicho kipengele....Yaani mi nazipenda sana Hela ya baby wangu Ina kaharufu flan hivi kazuri Kako tofauti na zile za kwenye vikobaπ₯π π πYani hata alipoandika 'kuteseka sio sifa' sio mimi kabisaaaa π
Itakuwa kasahau kuongeza n...manake sinaga 'itikadi' za utajiri wa wanaume aseee
Wewe mtu sana wewe, kwa hii tabia nitajikakamua upate hata Raum
Woi keshabebwa kitambo na Mpare flani huwa anaandika nyuzi ndeefu anajiita Heriel sijui hereniππππππ kwan mmeachana?
We sema kweli? Mnavyopendana mnaachanaje sasa?!! Emu rudianeni uko
Kwani kweli mmeachana? πππYaani mi na ushangazi wangu nivunjiwe mahusiano na Kindergarten jamani??sio kweli
Sasa kwa bajeti ya 13m gari kapi katakufaa?.Daaah!umetaja gari ambayo siipendagi kinoma...au nishawahi kukwambia siipendi unanifanyia makusudi π€£
Huwa nacheka asivyompa kupumua, yaani wakigombana nyumbani wanafuatana jf kutukanana huku anaambiwa tukana uoneπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kwani kweli mmeachana? πππ
Au tukana uone kakuchukua jumla?
π€£π€£π€£ wamekupokonya malkia wako bro?Woi keshabebwa kitambo na Mpare flani huwa anaandika nyuzi ndeefu anajiita Heriel sijui hereniπππ
Huwa sirudi nyuma atabaki kuwa mshikaji tu kanivunja moyo sana, akirudi atateseka bureπππ kwan mmeachana?
We sema kweli? Mnavyopendana mnaachanaje sasa?!! Emu rudianeni uko
Mpango wako unataka kunivuruga Medulla Oblongata Sasaπ€¦π€¦π€¦π€¦Kwani kweli mmeachana? πππ
Au tukana uone kakuchukua jumla?
Niligoma kutoa pesa mpare akanizidiπ€£π€£π€£ wamekupokonya malkia wako bro?
Na ujanja wako unaojisifia kuwajua wanawake wamekupora? πππ
Shemeji yangu yule ananipa raha na maneno yake ππππHuwa nacheka asivyompa kupumua, yaani wakigombana nyumbani wanafuatana jf kutukanana huku anaambiwa tukana uoneπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Asije akatimba hapa akaleta balaa lake...Huwa nacheka asivyompa kupumua, yaani wakigombana nyumbani wanafuatana jf kutukanana huku anaambiwa tukana uoneπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£