Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Yani hata alipoandika 'kuteseka sio sifa' sio mimi kabisaaaa 😅
Itakuwa kasahau kuongeza n...manake sinaga 'itikadi' za utajiri wa wanaume aseee
Nakuamini sana kwenye hicho kipengele....Yaani mi nazipenda sana Hela ya baby wangu Ina kaharufu flan hivi kazuri Kako tofauti na zile za kwenye vikoba😥😅😅😅
 
Back
Top Bottom