Maboss gani hao wananigombania?kwani T uone ni nae boss?unanimixππππ Basi naacha ila dada unagombaniwa na maboss humu?!!
Mmekutana na sisy naye ana nyota ya kupendwa sasa!! πππWananipenda nifanyeje?
Nimezaliwa kuwapa amani asee, mimi ni mtume na nabii wao ujueππ
Eti chuu jamaniiπ€£Unatakiwa uombe maokoto separetly usihusiane na sex.
NAkupa kiroho safi.
Sex sinunuagi wala si uzi.
Nikianza kununua sex sitataka mpenzi wa kudumu kwani wauzaji ni warembo kupitiliza.
So uelewa sinunui wala siuzi.
Kupeana pesa ni muhimu lkn silipii chuu...big no
ππππ namuonaga anavyowajaza mademu basi wanavimba makomwe wenyewe!!!Unampa makavu live au sio?Leo naona ni mwendo wa kunguni tu Glenn π€£π€£π€£π€£π€£π€£.....We katoto muache X wangu
Daah niwe mkweli, mtu akiwa na roho ndogo kamwe hawezi kuwa mpenzi wangu.Mmekutana na sisy naye ana nyota ya kupendwa sasa!! πππ
Pole sana mi natambua we ni fighter tunatandikaga wote majamvi kwa kanji π€£π€£π€£ sema nimemix ID zenuYani hata alipoandika 'kuteseka sio sifa' sio mimi kabisaaaa π
Itakuwa kasahau kuongeza n...manake sinaga 'itikadi' za utajiri wa wanaume aseee
Eee mi napenda Hela,J mwingine hapendi.Kumbe ni watu wawili tofauti na husemagi π€£
Naona umeokota pini yakoEti chuu jamaniiπ€£
Hiyo sisi hatutaki kujua πππUnatakiwa uombe maokoto separetly usihusiane na sex.
NAkupa kiroho safi.
Sex sinunuagi wala si uzi.
Nikianza kununua sex sitataka mpenzi wa kudumu kwani wauzaji ni warembo kupitiliza.
So uelewa sinunui wala siuzi.
Kupeana pesa ni muhimu lkn silipii chuu...big no
Asante studio π€£π€£π€£Eee mi napenda Hela,J mwingine hapendi.
Si hao hao wadadaz watoe TOZO....mambo yanakuwa bambamDaah niwe mkweli, mtu akiwa na roho ndogo kamwe hawezi kuwa mpenzi wangu.
Jamn hii nyota za wadadazi naombaga igeuke iwe nyota ya pesa.
Hii kitu imeanzia mbali sana wakuu nipeni dawa
Usiponielewa napungukiwa nini?Hiyo sisi hatutaki kujua πππ
Hii imeendaUnatakiwa uombe maokoto separetly usihusiane na sex.
NAkupa kiroho safi.
Sex sinunuagi wala si uzi.
Nikianza kununua sex sitataka mpenzi wa kudumu kwani wauzaji ni warembo kupitiliza.
So uelewa sinunui wala siuzi.
Kupeana pesa ni muhimu lkn silipii chuu...big no
Wakiona sifai wapite hiviiiππHii imeenda
Umesahau km ndiye boss no 1 jf nzima πππMaboss gani hao wananigombania?kwani T uone ni nae boss?unanimix
Dj anisindikize na Amapianoπ€£π€£Asante studio π€£π€£π€£
Haijaenda kokote πππHii imeenda