Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Angejuaje na kawapanga wengiHabari hapo sio kupewa gari,habari hapo ni kumshindwa kujua jina la mtoa gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angejuaje na kawapanga wengiHabari hapo sio kupewa gari,habari hapo ni kumshindwa kujua jina la mtoa gari
Wanasema ukiwa Shekhe usile nguruwe imwkonda, kula ile mafuta haswa ili uhukumiwe kwa haki😂Hii ndio trend ya huyu fisi mkuu, hapendo kula fisi mdogo, ni mwendo wa vituz
Hiyo age ukiweza ikimbie na ukae nayo mbali, hilo la kujiona ndafu sasa ndio balaa mkuu.Wanawake wengi hasa wenye umri wa wastani yaani 21 hadi 27 hujiona ni hot cake, kwahiyo hawajui wanataka nini.
Kwahiyo si ajabu alikuwa amewapanga Wanaume wa kutosha ili mradi wapo wa kumpa hela ya saluni, wakumpeleka Klabu, wakumlipia Kodi n.k
Kwahiyo wengi hawafai kudate nao hasa kama wewe ni mtu mzima unayejielewa.
Ingawa hufaa kwenye yale matumizi ya Chapa Ilale
Siku moja moja sio mbaya mkuu 😀KAKA SITAKI KUAMINI KAMA NA WW UNA KIWANGO KIKUBWA CHA UNAFIKI HIVI...😄
Ko wewe sio kaka tena? Haya shem
Kiungo muhimu ni moyo,au umesahau umeambiwa "tunza sana moyo wako kuliko vyote utunzavyo"kwani na hicho kiungo uliambiwa😁😁😁😁???Hayo maigizo kamwe sifanyi, kwanini nitese kiungo changu muhimu?
Unajipangia tu, weka maukuta yote nikiamu kuyavunja hata uniite baba haitasaidia😂😂😂Ko wewe sio kaka tena? Haya shem
Kipi kwaniKiungo muhimu ni moyo,au umesahau umeambiwa "tunza sana moyo wako kuliko vyote utunzavyo"kwani na hicho kiungo uliambiwa😁😁😁😁???
🤣🤣🤣🤣Mkemia mkuu bwanaTunavuana kwani wao wanakua nazo muda huo? 😂😂😂
Kawapanga kwa faida walau, wengine wanao wengi lkn hata buku hawampi ya pipiAngejuaje na kawapanga wengi
Hatari Sana Mjukuu 🙌🤣🤣Babu,hiyo baiskeli lazima ilikuwa phonex........
Kumbe Babu ungekuwa kijana zama hizi ungehonga hata Vanguard wewe!
🤣🤣🤣Aisee kama kidevu kina Mvi nilishakukataza kuleta taharuki Kwa underage,maana watakutana na Mvi sehemu nyingine bure🤦Mwambie yangu ipo 115/82, almost perfect. Atapigwa dude na mpare ashangae na mvi zangu kidevuni...
...ila bado, mimi na wazee wenzangu😁😁😁
Kaaka yamekuwa hayo tena?? Mbona ghafla? 😂😂😂Unajipangia tu, weka maukuta yote nikiamu kuyavunja hata uniite baba haitasaidia😂😂😂
Jipe moyo anakuita.....Sasa huyu ndiye ninayemfahamu😁😁😁