Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Wanawake wengi hasa wenye umri wa wastani yaani 21 hadi 27 hujiona ni hot cake, kwahiyo hawajui wanataka nini.

Kwahiyo si ajabu alikuwa amewapanga Wanaume wa kutosha ili mradi wapo wa kumpa hela ya saluni, wakumpeleka Klabu, wakumlipia Kodi n.k

Kwahiyo wengi hawafai kudate nao hasa kama wewe ni mtu mzima unayejielewa.

Ingawa hufaa kwenye yale matumizi ya Chapa Ilale
Hiyo age ukiweza ikimbie na ukae nayo mbali, hilo la kujiona ndafu sasa ndio balaa mkuu.
 
Hayo maigizo kamwe sifanyi, kwanini nitese kiungo changu muhimu?
Kiungo muhimu ni moyo,au umesahau umeambiwa "tunza sana moyo wako kuliko vyote utunzavyo"kwani na hicho kiungo uliambiwa😁😁😁😁???
 
🤣🤣Babu,hiyo baiskeli lazima ilikuwa phonex........
Kumbe Babu ungekuwa kijana zama hizi ungehonga hata Vanguard wewe!
Hatari Sana Mjukuu 🙌

Ni kweli ilikuwa Phoenix tena niliinunua shilingi 48 miaka ile, ambayo kwa miaka ya sasa thamani ya fedha ile unaweza kupata iPhone 15

Mapenzi ni hatari Mjukuu, bora sasa tumezeeka 🤗
 
Mwambie yangu ipo 115/82, almost perfect. Atapigwa dude na mpare ashangae na mvi zangu kidevuni...
...ila bado, mimi na wazee wenzangu😁😁😁
🤣🤣🤣Aisee kama kidevu kina Mvi nilishakukataza kuleta taharuki Kwa underage,maana watakutana na Mvi sehemu nyingine bure🤦
 
Back
Top Bottom