Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanitafutia ugomvi na sisy Joannah na Kantry sasaUnamdanganya nani humu?
Mimi sinaga siri ujue nimenyooka😂😂
Bro anataka kunivunjia uchumba mchana kweupe na chugaman wangu na hajui utani yule nitapigwa mitama mwenzie 😂😂😂Naona bro kagoma Leo kuwa bro🤣🤣🤣🤣kasema yeye hana siri
Basi itakuwa wanatofautiana.Hahahaha, vingine dk chache tu vipo hoi, sipendi tu manake vingi hata vikifika havielewi kama tayari au bado..🤣
Siku moja moja inaruhusiwaBabu kama hii taarifa ni ya ukweli,Barikiwa sana uwe na uzee mwema,hivyo ndio mwanaume unatakiwa kuwa si kuwa MBAHILI😅
🤣🤣🤣Usimuamini sana mwanasiasa.Babu na wewe Nini?wewe umeshazeeka umekuwa kibogoyo,waache vijana wavunje mifupa meno bado Iko 😁😁😁watu Wana pesa zao mjini halafu sio wabahili kama Robert Heriel Mtibeli na nduguye Extrovert
Kwani siku hizi baby hugawi ndinga?hata kile ki Impreza?Siku moja moja inaruhusiwa
🤣🤣🤣Inaweza kuwa blah blah?🤣🤣🤣Usimuamini sana mwanasiasa.
Mi nikajiuliza"huu bwanake nani"🤣🤣🤣🤣Jamaa hana hela huyo kaamua kufanya stunt tu 🤣
Unakapa ka Malaya gari hakana hio hadhi zaidi kanawachanganya wanaume na kuwatia mikosi tuKuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani 🙌
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
View: https://youtu.be/ZFv4jnFh-Pg?si=jHxgMeMiFpAmN2Rj
Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.
Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.
Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.
Chanzo: Global TV Online.