Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hayo niachie me πππNjoo uangalie sio chabo, sasa ghorofani utapigaje chabo jirani π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo niachie me πππNjoo uangalie sio chabo, sasa ghorofani utapigaje chabo jirani π
We muache πππAnataka kutrend kwa Millard Ayo huyu
Nmekushindwa ππHayo niachie me πππ
Kwa hiyo unatunza vibunda au sio?ukifa hauzikwi navyoUnataka ukiniacha nijiue nikikumbunga vibunda vyangu
Naona amekimbia...kitaalamu hii tunaiitajeHuyo ndugu yako keshakunywa vitu vikali,mpuuzie π π π
Escape from Sobiboπ€£Naona amekimbia...kitaalamu hii tunaiitaje
Kwa hiyo unatunza vibunda au sio?ukifa hauzikwi navyo
Alikuwa kawapanga kweli hadi jina la aliyemnunulia gari hamjui.Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani π
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Yeye kaambiwa ataje mpenzi wake kwa hiyo baba yake ndio mpenzi wake? Alafu naona kama habari ya kutengenezaNmeona interview yake clouds anadai benny n jina la baba yake, kuna ukakasi ila naona amepata cha kumpa umaarufu.
Hiyo wamekaa chini wakachora mchezo mzima utakavyokuwa ila wamefanikiwa.Yeye kaambiwa ataje mpenzi wake kwa hiyo baba yake ndio mpenzi wake? Alafu naona kama habari ya kutengeneza
Ukimsikiliza huyo ndg yangu utakosa bUwe unanitonya jamani nisijechomwa mishale π π π₯°
Mjinga sana, unaweweseka ukiutamani au?π€£π€£Niliona kweli L ni chizi anamchabo maza ake [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema tulikua watoto Mungu atusamehe!!
Yule mzee ana bonge la mkia km la punda afu jeusiiiii tiii!!! Yule baba sijui mjaluo?
na ule utoto had usiku niliweweseka
Napenda utani lkn katika hili niko very siriaz, sinunui k wala siuzi mb.Tutaamini vipi? πππ
Hahaha kituo kifuacho...jiandaeπAsikudanganye huyu π π π π π
Sijiandai niacheππππHahaha kituo kifuacho...jiandaeπ
Ulikuwa unatisha ni mkubwa afu mweusi mno km kambale πππUkimsikiliza huyo ndg yangu utakosa b
Mjinga sana, unaweweseka ukiutamani au?π€£π€£