Kwa mwanasiasa nunda kama Gambo hilo halimtetereshiPole sana Mheshimiwa Mrisho Gambo, umevuna ulichopanda. Wenye madaraka wote jifunzeni kilio cha mnaowaonea Mungu husikia.
Kumbukeni vyeo vyenu ni dhamana.
Chai bila sukari ni sawa na maji,Huyo akitumbuliwa atajiua kwa presha
Haibadirishi mipango ya watu,hilo ni kindi moja mpaka wakubwa wa wapinzani wote ni kindi moja,wewe fanya tu shughuli zako hao waache utaumia moyo tuAngalia hiiView attachment 1483838
Sio kweli bhana acheni kumfariji mfiwa kuwa marehemu kalala tu ataamka baada ya kuzikwaMrisho gambo atateuliwa uwaziri baada ya uchaguzi
Chai bila sukari ni sawa na maji,
Mrisho Gambo ametumbuliwa, full stop! Acheni kumfariji.Ukisikia kesho waziri? Huyu ni mpendwa wa Jiwe, untouchable... kama Makonda hawana tofauti!
Muda utaongea. Bashite anaweza kutumbuliwa?Mrisho Gambo ametumbuliwa, full stop! Acheni kumfariji.
Kama Bashite hawezi kutumbuliwa, basi na huyu hajatumbuliwaBI MMOJA WA KAKA YANGU KIPENZI INGAWA TUNATIFAUTIANA KWENYE SIASA..... UKWELI KUNA BAADHI YA MAMBO KAMA CCM MH GAMBOOO ALIJISAHAUU NA HATA HUMU SIKUACHA KUMWAKIA ANAPOKOSEA INGAWA DHAMANA YA AENDELEW ASIENDELEE Ilikuwa KWA MH RAISI
UTENGUZI WA BW GAMBOO NAAMINI KILIO CHA MH LEMA KIMEAIKIKA KAMA AJAPIGA CHEERS NA MALAIKA MIKAELI WA ULINZI BASI LEO ATAKUWA AKISALIMIANA NA WANAFUNZI WA YESU WALIOTESWA SANA ENZIHIZO
Hivi Magesa kwasasa Yuko wapi....??????Alipotumbuliwa Gambo nikamkumbuka na Magessa Mulongo! Mwisho wa ubaya ni aibu
Kumbe alikua kiboko yake eeeh...BI MMOJA WA KAKA YANGU KIPENZI INGAWA TUNATIFAUTIANA KWENYE SIASA..... UKWELI KUNA BAADHI YA MAMBO KAMA CCM MH GAMBOOO ALIJISAHAUU NA HATA HUMU SIKUACHA KUMWAKIA ANAPOKOSEA INGAWA DHAMANA YA AENDELEW ASIENDELEE Ilikuwa KWA MH RAISI
UTENGUZI WA BW GAMBOO NAAMINI KILIO CHA MH LEMA KIMEAIKIKA KAMA AJAPIGA CHEERS NA MALAIKA MIKAELI WA ULINZI BASI LEO ATAKUWA AKISALIMIANA NA WANAFUNZI WA YESU WALIOTESWA SANA ENZIHIZO
Jtatu kuna nini? why not on sunday, today?