Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Una uhakika???,maana usije wekwa kati halafu ukabaki kutoa macho km panya aliyebanwa kwenye mlango.Alienda kuomba ushauri kwa Bashite akimuuliza; Hivi mwenzangu unafanyaje maana unaharibu mara kibao na Magu atakusema hadharani lakini hakutengui. Nipe siri yake!
Mrisho kamkumbushia Bashite, angalia ulikuwa na skendo ya makonteina- ukapangua, Vyeti feke, Koko beach, Ukusanyaji wa kodi DSM nk.