Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Kutufitinisha wana Arusha
Kilichompata ndio zawadi ya mfitini, hawana muda kudiscuss habari za gambo, hapo wmeshamaliza wanayo mengi ya maana kuliko hili la gambo.. Arusha safari hii hata form 6 leaver akigombea kupitia ccm atashinda, kwanza sidhani Lema atagombea tena km kweli anawapenda watu wa arusha..
 
Huyu ni mwana kulitafuta bana hachelewi kulipata;
1. Mhe. Gambo alijisahau?
2. Mhe. Gambo alilevywa na madaraka?
3. Mhe. Gambo alionyesha daliliza kutoridhika na alichopewa?
4. Mhe. Gambo alisema yasiyosemeka?

Naona mtoto wa Muuza uji pale soko la Karume na Aliyeuota ufundi Gereji yamemkuta yaliyompata...
 
Kitendo Cha Mh. Rais kutuondolea huyu aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kimenifurahisha na kupelekea Jana nilewe Hadi kuzimia.

1.Mrisho Gambo alikuwa ana majivuno Sana
2.Alikuwa Mungu wa Dunia.
3.Alikuwa mtu wakuona wasio na madaraka ni wadudu tu kwahiyo wanaweza kufanywa chochote.mfano kusweka watu ndani na kuamrisha hapana kupewa dhamana.
3.Alikuwa mtu wa Visasi mno hata kupoteza wapinzani wake bila kujali hao wapinzani wapo ndani au Nje ya Ccm.
4.Alikuwa ni mtu mchonganishi mno.
Hii iwe fundisho kwa Vijana wengine tukipewa Madaraka tukumbuke Vyeo ni dhamana tu.
Tukumbuke utu na Ubinadamu.
Usisahau kuwa yote uliyoorodhesha yanamhusu jiwe pia.
 
Nani amesema jimbo la arusha litagawanywa, na kwani mkuu wa mkoa kutenguliwa imeanzia kwa gambo? Acheni ndoto za mchana..kwani gambo ni maalum sana hawezi fanya kazi nyngn zaidi ya siasa..
Noted.
 
HABARINI ZA JIONI
KWA MSIOJUA TU HUU MKUTANOO NDIO UMEMNGOA MRISHO GAMBO

WENGINE WAMEFANYIKA KAFARA TU KUMALIZA MSTAKABALI WA ARUSHA......

HUU MKUTANO NAJUA MRISHO ALIHISI WAKO ANAOWAJUA WENYEWE LAKNI KULIKUWA NA KADHAA NYUMA YA PAZIA NA MMOJA WAO ALISHIRIKI KWA MAKUSUDI KUSAMBAZA HIZI VIDEO KULINDA CHAMA CHETU KIENDEELEE KUDUMU

NAMPA POLESANA SANA MH RC AKUSOMA NYAKATI NA HATA VIKAONI ALIJISAHAU SIOWOTE ANAOWAFAHAMU WAMO MLE

NAPONGEZA UAMUZI MZITO WA MH RAISI ILIFIKA WAKATI TULINDE CHAMA AMA TUMWACHE AENDELEE NA MAMBOYAKE

NAWATAKIA KILA LA KHERI WOTE MLIOJINYANYUA NAMINI NEXTY MLIOBAKIA MTAJILINDA KWA HALI NA MALII.....
Screenshot_20200620-221324.png
Screenshot_20200620-221337.png
Screenshot_20200620-221355.png
Screenshot_20200620-221431.png
Screenshot_20200620-221438.png
 
sasa kumekucha gambo rasmi ubunge kwa lema mbona mtakoma mwaka huu hana kosa la kutumbuliwa kama mnadhani ni hivyo hayo ni maandalizi ya ubunge
Mavii


Tuuux
 
HIII SIKU NDIO NILIJUA SIKUZAKE ZINAHESABIKA UNISIFIA KUSIMAMISHA UJENZI WA KANISA TENA UKIELEKEA GOROFA YAPILI
ALAFU UNASEMA YAWE MADARASAA FABKURUMANYOYA LABDA SIOKWAMUNGU NINAEMWAMINI KHA
Screenshot_20200620-221007.png
Screenshot_20200620-221059.png
Screenshot_20200620-220657.png
Screenshot_20200620-220730.png
Screenshot_20200620-220824.png
Screenshot_20200620-220841.png
 

Attachments

  • Screenshot_20200620-220950.png
    Screenshot_20200620-220950.png
    351.4 KB · Views: 1
Kumbe hukuona jinsi alivyokuwa anasakamwa?!
Nakuuliza tena,Lema anaeza kuonewa kwenye jambo linalohusu WANANCHI wake akakaa kimya?
Ama ni Lema yupi unamzungumzia?
Unakumbuka zile fujo alizoleta wakati wa kuzinduliwa ile hosipital?
 
Back
Top Bottom