Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ok ndiyo maana magamba yameamua kumchunia
aliwatukana UVCCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliwatukana UVCCM
Wenzie waliotumbuliwa nae wao hawaandaliwi hilo jambo unalolijua wewe..kwa kipi hasa alichofanya gambo?
Halafu ni Kesho 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kilichompata ndio zawadi ya mfitini, hawana muda kudiscuss habari za gambo, hapo wmeshamaliza wanayo mengi ya maana kuliko hili la gambo.. Arusha safari hii hata form 6 leaver akigombea kupitia ccm atashinda, kwanza sidhani Lema atagombea tena km kweli anawapenda watu wa arusha..Kutufitinisha wana Arusha
Usisahau kuwa yote uliyoorodhesha yanamhusu jiwe pia.Kitendo Cha Mh. Rais kutuondolea huyu aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kimenifurahisha na kupelekea Jana nilewe Hadi kuzimia.
1.Mrisho Gambo alikuwa ana majivuno Sana
2.Alikuwa Mungu wa Dunia.
3.Alikuwa mtu wakuona wasio na madaraka ni wadudu tu kwahiyo wanaweza kufanywa chochote.mfano kusweka watu ndani na kuamrisha hapana kupewa dhamana.
3.Alikuwa mtu wa Visasi mno hata kupoteza wapinzani wake bila kujali hao wapinzani wapo ndani au Nje ya Ccm.
4.Alikuwa ni mtu mchonganishi mno.
Hii iwe fundisho kwa Vijana wengine tukipewa Madaraka tukumbuke Vyeo ni dhamana tu.
Tukumbuke utu na Ubinadamu.
Noted.Nani amesema jimbo la arusha litagawanywa, na kwani mkuu wa mkoa kutenguliwa imeanzia kwa gambo? Acheni ndoto za mchana..kwani gambo ni maalum sana hawezi fanya kazi nyngn zaidi ya siasa..
Maviisasa kumekucha gambo rasmi ubunge kwa lema mbona mtakoma mwaka huu hana kosa la kutumbuliwa kama mnadhani ni hivyo hayo ni maandalizi ya ubunge
Wivu tu Rais mwenyewe ajiandae kwenda chattel. Ikulu tunampa Mbowe.
Kibri Tulimuonya Hakuelewa sasa wacha asugue bench kidogo aanze kuzungusha bahasha.
LABDA CHADEMA MNYE MPAKA HAI TOKA DARWivu tu Rais mwenyewe ajiandae kwenda chattel. Ikulu tunampa Mbowe.
LABDA CHADEMA MNYE MPAKA HAI TOKA DAR
Anasimamia na kuchagiza MaendeleoKijana...usiwe huna hata msingi tu wa elimu ya Uraia.Maendeleo analeta Mwenyekiti wa UVCCM??ndio elimu mnayojifunza siku hizi?
Nakuuliza tena,Lema anaeza kuonewa kwenye jambo linalohusu WANANCHI wake akakaa kimya?Kumbe hukuona jinsi alivyokuwa anasakamwa?!