Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Nchi hii tuko wachache tunaomwelewa Rais kuwa atabiriki!Pamoja na kununua madiwani wote wa chadema wa arusha ili waunge juhudi ila mwisho wa siku katupwa kama tishuu
.
Sjaamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii tuko wachache tunaomwelewa Rais kuwa atabiriki!Pamoja na kununua madiwani wote wa chadema wa arusha ili waunge juhudi ila mwisho wa siku katupwa kama tishuu
.
Sjaamini
Kwani Arusha ni ya wachaga?Sure kipindi kile wasomali walikua na nguvu sana pale mjini kati,ila kwa sasa kama sio Mchaga ni kisanga aisee.
Mwigulu, Simbachawene, Kichere, Andengenye!!Hata alimpomtoa Mwigulu uwaziri,kuna maneno alisema, ila baadae akaja tena akampa uwaziri, hivyo tuna la kujifunza kuhusu maamuzi ya huyu kiongozi.
Waarusha waliwauzia Wachaga...70%ni wachaga.Kwani Arusha ni ya wachaga?
[emoji23][emoji23] duuhGambo umemsikia Jiwe? Anasema kama unapenda ugomvi kagombane na mkeo na wanao kwako
Weee ndio umemaliza haswaaaahUnavuliwa taji la shaba unaveshwa la dhahabu.
SISIEM kama choo cha stand kila mtu anaingia na kutokaPamoja na kununua madiwani wote wa chadema wa arusha ili waunge juhudi ila mwisho wa siku katupwa kama tishuu
.
Sjaamini
Huyo mswahili labda abebwe na tume na policeccm bila hivyo ni kipigo cha mbwa kokoOption ya kwanza.
Baada ya utenguzi huu naona Siasa za Arusha zikibadilika. Mrisho Gambo naona akienda KUGOMBEA Jimbo la Arusha Mjini. Kama ikiwa hivyo Lema atakutana na Wakati mgumu Sana kwa fitna na weledi wa Gambo Jukwaani. Itategemea pia kama Chama kitampitisha.
Option ya Pili.
Kuna harufu ya Jimbo la Arusha kugawanywa Mara mbili na kuzaa Jimbo la Muriet. Kama likigawanywa kwa Jimbo hili Gambo atakwenda kugombea Muriet. Hii itampa unafuu Sana Mh Lema Kama Atabaki na kugombea Arusha. Itategemea pia Kama Chama bado kinamuhitaji.
Hasara anayoweza kuipata kwenye Option hizi.
1. Makundi ambayo alikuwa anagombana mayo kila siku kwenye Chama je watamuunga mkono?
2. Kuondolewa kwenye nafasi sio sifa nzuri, yaani "Demotion" sio sifa ya kiongozi anayehitaji kusogea juu zaidi. Ana kazi ya kuwaaminisha waliomteua na wananchi kuwa anaweza zaidi.
All in all Vijana tuna mengi ya kujifunza kwenye Hili tunapokabidhiwa majukumu ya kiuongozi. Bado ana nafasi kubwa tu kwenye siasa, Kila la Kheri.
View attachment 1484003
Ongeza sautiii hawajasikia vizuri[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]Si kweli hauishi Arusha mjini kule watu wanaichukia ccm sijui walichanjiwa hata Lema akigombea uchaguzi ukiwa huru ana shida mapema kabisa, ccm ibadili mbinu za ku deal na Arusha hii mbinu yao ya kusifia au kutumia siasa za Namtumbo watafeli tu.
SISIEM kama choo cha stand kila mtu anaingia na kutoka
Ongeza sautiii hawajasikia vizuri[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]
Huyo mswahili labda abebwe na tume na policeccm bila hivyo ni kipigo cha mbwa koko
Kumbe ni unafiki nao umechangia