Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Hapana,lema alishindwa kubadilisha mfumo wa siasa zake,,kwa mfano angekuwa vizuri na diwani Nanyaro angekuwa angalau ana matumaini...maana huyo nanyaro ni mjanja.. hata km hamna siasa kila siku yuko masokoni akizungumza na wananchi...sasa lema ajui ku renew policy.
Ruhususi mikutano ndio uje kuongea unachoongea.. miaka mitano mnafanya mikutano Nyie .. mmewafunga wakina lema, mmewanunua wabunge ila bado mnaogopa na mnajiaminisha upinzani umekufa.

Unalipua Mochwari halafu unajitapa umeua.
 
You know nothing about Arusha you better shut your mouth
Mkuu na huku upo tena?kule kwenye Battle unalaumu watu kwa kutokuijua Dar,sasa unanilaumi mie tena kwa kutokuijua Arusha..haya mkuu tueleze sasa!
 
Ruhususi mikutano ndio uje kuongea unachoongea.. miaka mitano mnafanya mikutano Nyie .. mmewafunga wakina lema, mmewanunua wabunge ila bado mnaogopa na mnajiaminisha upinzani umekufa.

Unalipua Mochwari halafu unajitapa umeua.
Kampeni haziko mbali,mtaruhusuwa tuu mkuu,tuone Mafriko.
 
Msini qoute tena. Mimi ni chadema mwenzenu hahahahahaaa
 
[emoji87]
IMG-20200621-WA0002.jpg
 
mmekwisha mwaka huu niwaambie tu wapinzani, karibia majimbo yote ya upinzani hakuna maendeleo kwanza hampo majimboni kutwa kuchwa kwenye social networks kulalamika ovyo ovyo tunafanya operesheni safisha uchafu
Acha kujitoa Akili hao wapinzani wakionekana majimbon RPC, OCD, Anawabana utafikiri waalifu...Wakiuzuria mikutano ya kikazi na kiserikali mnakuja na jezi za kijani...Mwenyekit wenu anawatukana...Siasa za hoja ccm Ni weupe Safishen upinzani kwa mtutu wa Bunduki...SI mnatumia dollar kubaki madarakan!!
 
Naangalia Tv jioni ya sa2 usiku, ninaona habari kwa ufupi juu ya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na mkoa ikiwemo Arusha!

Ninaomba mwananzengo yeyote mwenye 'top story' anaijuze, maana nilichokiona tiviini ni habari kwa ufupi, na kuachwa na ombwe.
 
Kwa ufupi....RC...DC na mkurugenzi wa jiji la arusha wametumbuliwa na kesho wanaapishwa viongozi wapya.
 
Ukituliza macho, vinabebana.
Kifupi nilikuwa safarini bila kuangalia chochote zaidi ya sa24.

Nilipofungua Jf sikuona chochote kinachosadifu kilichotangazwa kwenye tv.
Nayo TV umeiweka kundi la mitandao ya kijamii?
 
Kesho Mh. Rais John Pombe Magufuli ataongea na wateule kutokea Ikulu ya Magogoni

Aidha watanzania tutapata kumsikiriza kupitia media mbalimbali

Kwa wenzetu wasio na moyo wa subira wanadhani kawaida ni kama sheria!

Kumbe Mwenyezi Mungu ana makusudi yake!
104494456_790737568127859_4889158243798454720_n.jpeg
 
Back
Top Bottom