Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Lema anaingiaje hapo sasa, Kwani wao ndio wangempa ushindi lema?tayari watu maalum wamewekwa
lema good bye tafta kazi nyngne au jimbo lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema anaingiaje hapo sasa, Kwani wao ndio wangempa ushindi lema?tayari watu maalum wamewekwa
lema good bye tafta kazi nyngne au jimbo lingine
Kwisha kazi.
Wamegombania fito, mwisho wa siku wamekosa wote.
hafai kua mbunge huyo mbusitayari watu maalum wamewekwa
lema good bye tafta kazi nyngne au jimbo lingine
Pipa na funiko, demokrasia ipi ya kutoa form moja ya kugombea uraisi?CCM kuna demokrasia pana!
Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.
Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.
Inawezekana....Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.
Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.
Comrade wote hao watatu wamepigwa chini maana ugomvi wao ulifika hatua wakawa wanafanyiana hujuma kwenye miradi ya maendeleo.
Dc alikua kundi moja na mkurugenzi against Rc na ndiyo maana wamebadilishwa woote.
Jamaa kaona Lema bado anadunda.
Kaamua kuweka safu mpya yakupambana na Lema
Kwahiyo Lema akisha ukosa ubunge wewe ndiye utakuwa unapokea mshara wake?
Japo liko kimkakati zaidi lakini gumbo alizidisha ngebe na nyodo.. Na aliyemmaliza ni huyo DC ambaye ni TISS 100%.. Huyo anahamishwa kwenda kuwamaliza wengine..
Alikuwa akiwaambia wao ni wateule tuu wataondoka wamuache. Na kweli wamemuacha..Lema alisema mapema. Kete ya mwisho ipo Dar
Huwa wanalumbana sawa hawa 3.
Mfano soko la Samunge lililoungua moto, inasadikika Gambo aliunguza na kujifanya anawasaidia kurudia hali zao za awali ili aonekane anawajali.
Baada ya soku kuungua, Bwana Madeni na Daqaro waliamua walijenge kisasa lakini walipingwa na Gambo.
Wakati wataalum wa michoro walikesha usiku na mchana kuandaa michoro pale sokoni lakini Gambo alibatilisha na hatimaye alihamishia ofisi pale eti amekuja kupokea kero za wamachinga na kuchana ramani mpya
safi sana kijana alikuwa mbambe mno
Arusha kunani? Hii ni message kwa waimba mapambio wooote. Bwana Jiwe ni kama Simba wa kufugwa. Hata umpe msosi kwa miaka mingi kiasi gani, siku ya siku akikosa chakula tu, anakugeuza wewe kuwa kisusio.