Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Haya Gambo njoo mtaani uone maisha halisi yalivyo
 
Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.

Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.

Walikuwa na ugomvi kila siku, hadi waliitwa dodoma kwa Jaffo
 
Huwa wanalumbana sawa hawa 3.
Mfano soko la Samunge lililoungua moto, inasadikika Gambo aliunguza na kujifanya anawasaidia kurudia hali zao za awali ili aonekane anawajali.
Baada ya soku kuungua, Bwana Madeni na Daqaro waliamua walijenge kisasa lakini walipingwa na Gambo.
Wakati wataalum wa michoro walikesha usiku na mchana kuandaa michoro pale sokoni lakini Gambo alibatilisha na hatimaye alihamishia ofisi pale eti amekuja kupokea kero za wamachinga na kuchana ramani mpya

Gambo alijisahau na kujiona yeye nae ni mtoto mpendwa wa baba kama vile alivyo bashite kumbe anajidanganya tu.

Bashite alishafanya makubwa kuliko ya Gambo lkn hajawahi kufanywa chochote kile.
 
Nafikiri wajiandae wakuu wa mikoa wote waliotumwa kwenda kuumaliza upinzani wakafeli


Stay tuned for IRINGA..MBEYA..KILIMANJARO

Jiandaeni.
 
Back
Top Bottom