Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Amepisha kidogo, ili wadeal na Lema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha kuna nini? RC, DC na DED wote kwa mkupuo? Kutakuwa kuna tatizo
Gambo anaenda kulima? [emoji16][emoji16] balaaa kweli kweli unaweza kufa na pressure
Maji yamezidi unga kuhusu Ubunge wa Arusha Mjini,kila mmoja alikuwa ana maslahi yake.Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.
Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.
Comrade kachezea za chembe kwa sababu ya mgogoro na dcAmepisha kidogo, ili wadeal na Lema
Sijui kama kashafika Arusha, kama hajafika basi akabidhi gari kabisa,
Daah
Hawa watatu ndani ya mkoa mmoja kazi yao imeisha.DUUUUU KWELI KAZI INAENDELEA
Huwa wanalumbana sawa hawa 3.Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.
Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.