Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Utavuna ulichopandaMbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Source: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Gambo anawindwa na nani?
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Source: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Kwenye kesi ya Chacha Wangwe mahakama zinaaminika. Shahidi wenyewe si walewa;le waliyotumwa na Mbowe. CHADEMA ilipata majemedari waaminifu toka mkoa wa Mara, lakini kwa sababu ya siasa kali za Kikurya, haikukaa sawa na Mbowe. Ukweli Mara ilikuwa strong hold ya upinzani kama vile Mbeya na Iringa, lakini walionekana kama tishio kwa uongozi wa Mbowe. Tatizo kubwa la CHADEMA wana uongozi wa kisasi na hawajui kusamehe. Hivi ndivyo ilivyotokea kwa Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, na sasa wale wabunge!Hivi, huu ukivuruge wako utaacha lini wewe kubwa jinga?
Shida yako nchi ivurugike na tuanze kutoana roho sisi kwa sisi ndio uridhike?
Ishu ya wangwe Kama una ushahidi zaidi ya uliotolewa mahakamani fungua kesi upya ili uziponye nafsi za wafiwa.
Ni Kama ccm mna kundi la kuanzisha Vita ili vikikolea mjitokeze kuwalaumu wengine! Binafsi nimekushtukia ndugu project manager!
Cheap popularity Mr Gambo.Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Source: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Hili swali alipaswa kujiuliza Gambo mwenyewe enzi akiwa anamsakama Lema kwa mtutu wa bunduki.
Ukweli ni kuwa vyaa vyote vina wapumbavu, tofauti ni wapi wanaonekana zaidi na kwa nini. Pamoja na watu wengi kuonyesha kuwa malalamiko yanalenga CCM lakini kila nikiitafuta sababu ya CCM kumtafuta Gambo siioni. Ni kweli kuwa Gambo aliwania nafasi hiyo baada ya kuwashunda wagombeaji wa CCM, lakini wenye kuwa na sababu kubwa kuimdhuru Gambo ni CHADEMA, has Lema ambaye ndiyo alikuwa mpinzani wake mkubwa. Sisemi kuwa Lema ni mhusika bali yeye ni katika watu wanaoweza kushukiwa kuhusika.chadema haina wapumbavu kama wapumbavu mliojazana ccm na kupiga watu risas.
Kwa hiyo anamuongelea Lema!Mara moja hii amesahau aliyomfanyia Lema?
Nimkunbushe tu kwamba kanuni ya karma haibagui Wala haipendelei.
WHAT GOES ROUND COMES AROUND.
Lema Yuko ughaibuni Hana time na vijitu vidogo vidogo vyenye roho mbaya.Kwa hiyo anamuongelea Lema!
Mkuu nikuwapotezea tu kwani ndio Mambuzi yenyewe hao.Tumia maneno ya staha. Siasa zisikuondolee utu wako. Siasa zitapita ila utu utabaki. Mgao wa umeme na maji unatupiga wananchi wote, ila tunakubali kubaguliwa na kuchukiana kwa vyama.
Fitna haiwezi kukusaidia chochote unless otherwise wewe ni MCHAWI.Kwenye kesi ya Chacha Wangwe mahakama zinaaminika. Shahidi wenyewe si walewa;le waliyotumwa na Mbowe. CHADEMA ilipata majemedari waaminifu toka mkoa wa Mara, lakini kwa sababu ya siasa kali za Kikurya, haikukaa sawa na Mbowe. Ukweli Mara ilikuwa strong hold ya upinzani kama vile Mbeya na Iringa, lakini walionekana kama tishio kwa uongozi wa Mbowe. Tatizo kubwa la CHADEMA wana uongozi wa kisasi na hawajui kusamehe. Hivi ndivyo ilivyotokea kwa Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, na sasa wale wabunge!
Kwa sababu aliwasema kukatika katika kwa umeme.Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Source: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Jinai haifi, kakate rufaa kesi ianze upya Kama una ushahidi wa kutosha. Vinginevyo mkae kimya kwani mmawaumiza wapendwa wake Kama alivyofanya katibu mkuu mstaafu wenu kule dodoma kwa wajane wa taifa!Kwenye kesi ya Chacha Wangwe mahakama zinaaminika. Shahidi wenyewe si walewa;le waliyotumwa na Mbowe. CHADEMA ilipata majemedari waaminifu toka mkoa wa Mara, lakini kwa sababu ya siasa kali za Kikurya, haikukaa sawa na Mbowe. Ukweli Mara ilikuwa strong hold ya upinzani kama vile Mbeya na Iringa, lakini walionekana kama tishio kwa uongozi wa Mbowe. Tatizo kubwa la CHADEMA wana uongozi wa kisasi na hawajui kusamehe. Hivi ndivyo ilivyotokea kwa Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, na sasa wale wabunge!
Sio kwamba ulijitegea vyupa mwenyewe kama ambavyo huwa mnasema kuwa lisu alijipiga risasi??Namshukuru Mungu aliniokoa na jaribio la kuwekewa vyupa kwenye supu.
Kile alichokua anamfanyia Lema ndiyo hichi anachofanyiwa yeye na wenzake wa CCM.Jamaa ana wasiwasi kwani amefanya nini mbaya?