Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Utavuna ulichopanda
 
Gambo naye ni mwovu tu. Aliwaweka ndani watu waliokuwa wanachangishana rambirambi kwenye ajali ya Lucky Vicent. Kile kitendo kilikuwa kiovu mno. Katika aliowakamata walikuwepo viongozi wa dini. Unamkamataje mtu anayetaka kutoa rambirambi? Halafu bora ajiuzulu kwasababu muda mwingi atakuwa anatumia kujilinda badala ya kuwatumikia wananchi.
 
Kama ambvyo ulishirikiana na akina Sabaya ndivyo hovyohivyoo utakavyo lipa

Soo tulia msumari ukiingieee

Bora Lema aliyekimbilia Canada
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
 
Hivi, huu ukivuruge wako utaacha lini wewe kubwa jinga?
Shida yako nchi ivurugike na tuanze kutoana roho sisi kwa sisi ndio uridhike?
Ishu ya wangwe Kama una ushahidi zaidi ya uliotolewa mahakamani fungua kesi upya ili uziponye nafsi za wafiwa.
Ni Kama ccm mna kundi la kuanzisha Vita ili vikikolea mjitokeze kuwalaumu wengine! Binafsi nimekushtukia ndugu project manager!
Kwenye kesi ya Chacha Wangwe mahakama zinaaminika. Shahidi wenyewe si walewa;le waliyotumwa na Mbowe. CHADEMA ilipata majemedari waaminifu toka mkoa wa Mara, lakini kwa sababu ya siasa kali za Kikurya, haikukaa sawa na Mbowe. Ukweli Mara ilikuwa strong hold ya upinzani kama vile Mbeya na Iringa, lakini walionekana kama tishio kwa uongozi wa Mbowe. Tatizo kubwa la CHADEMA wana uongozi wa kisasi na hawajui kusamehe. Hivi ndivyo ilivyotokea kwa Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, na sasa wale wabunge!
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Cheap popularity Mr Gambo.
 
chadema haina wapumbavu kama wapumbavu mliojazana ccm na kupiga watu risas.
Ukweli ni kuwa vyaa vyote vina wapumbavu, tofauti ni wapi wanaonekana zaidi na kwa nini. Pamoja na watu wengi kuonyesha kuwa malalamiko yanalenga CCM lakini kila nikiitafuta sababu ya CCM kumtafuta Gambo siioni. Ni kweli kuwa Gambo aliwania nafasi hiyo baada ya kuwashunda wagombeaji wa CCM, lakini wenye kuwa na sababu kubwa kuimdhuru Gambo ni CHADEMA, has Lema ambaye ndiyo alikuwa mpinzani wake mkubwa. Sisemi kuwa Lema ni mhusika bali yeye ni katika watu wanaoweza kushukiwa kuhusika.
 
Namshukuru Mungu aliniokoa na jaribio la kuwekewa vyupa kwenye supu.
 
Tumia maneno ya staha. Siasa zisikuondolee utu wako. Siasa zitapita ila utu utabaki. Mgao wa umeme na maji unatupiga wananchi wote, ila tunakubali kubaguliwa na kuchukiana kwa vyama.
Mkuu nikuwapotezea tu kwani ndio Mambuzi yenyewe hao.
 
Kwenye kesi ya Chacha Wangwe mahakama zinaaminika. Shahidi wenyewe si walewa;le waliyotumwa na Mbowe. CHADEMA ilipata majemedari waaminifu toka mkoa wa Mara, lakini kwa sababu ya siasa kali za Kikurya, haikukaa sawa na Mbowe. Ukweli Mara ilikuwa strong hold ya upinzani kama vile Mbeya na Iringa, lakini walionekana kama tishio kwa uongozi wa Mbowe. Tatizo kubwa la CHADEMA wana uongozi wa kisasi na hawajui kusamehe. Hivi ndivyo ilivyotokea kwa Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, na sasa wale wabunge!
Fitna haiwezi kukusaidia chochote unless otherwise wewe ni MCHAWI.
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Source: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Kwa sababu aliwasema kukatika katika kwa umeme.
 
Kwenye kesi ya Chacha Wangwe mahakama zinaaminika. Shahidi wenyewe si walewa;le waliyotumwa na Mbowe. CHADEMA ilipata majemedari waaminifu toka mkoa wa Mara, lakini kwa sababu ya siasa kali za Kikurya, haikukaa sawa na Mbowe. Ukweli Mara ilikuwa strong hold ya upinzani kama vile Mbeya na Iringa, lakini walionekana kama tishio kwa uongozi wa Mbowe. Tatizo kubwa la CHADEMA wana uongozi wa kisasi na hawajui kusamehe. Hivi ndivyo ilivyotokea kwa Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, na sasa wale wabunge!
Jinai haifi, kakate rufaa kesi ianze upya Kama una ushahidi wa kutosha. Vinginevyo mkae kimya kwani mmawaumiza wapendwa wake Kama alivyofanya katibu mkuu mstaafu wenu kule dodoma kwa wajane wa taifa!
 
Back
Top Bottom