Kwa miaka hii kugonga 41, ni kumshukuru Mwenyezi Mungu! Angalau na wewe umekula kachumvi kidogo japo sio sana!mimi ni kijana wa umri wa miaka 41
WHAAAAAAAAAAT?! Kuanza maisha?akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha,
Hapo ulichukua uamuzi wa busara sana kama "kijana" wa miaka 41!uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha.
Ulimchangia shilingi ngapi wakati anajenga?!baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote,
Ulitaka akupe pesa ya begi la shule au school fee?hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela
Ebo!! Ina maana ulikuwa unaishi hapo hapo nyumbani, au?, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari,
Hakika baba yako ana roho mzuri sana. Ni lipi lililo jema kwa mzazi zaidi ya kumtakia heri mwanawe kijana wa miaka 41. Miaka 41 inakuwa umeshaingia phase two ya kuelekea kufa, kwahiyo heri kutoka kwa baba ni muhimu sana ili uweze kuishi angalau miaka mingine 20!baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI"
Unaona sasa! Kumbe jeuri! Yaani badala ya kumjibu unamdai nini, inaelekea ukapiga kimya!nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.
Nani alikudanganya kwamba kuna sheria za kipuuzi kama hizo?! Cha babako ni chako siku akifa na sio wakati yupo! Kubwa jinga wewe.Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.
Una mchango wowote katika ujenzi wa nyumba hiyo?nyumba ni yetu, maana nimezaliwa hapo hapo
We usimwambie hivi huyu kijana wa makamo anaonyesha ana msongo wa mawazo anaeza fanya tukio kweli huyu ooohoHApo Mzeya chakufanya ni moja tuu...wee mpeleke mbele za haki kwa muumba maana ana roho mbaya sana huo baba yako. Alafu fanya aliyofanya yule kijana arusha....waambie kabisa polisi hamna shida ya upelelezi mie ndio nimemtoa roho sababu ikiwa ni roho mbaya ya baba
Kuna watoto wa kuzaa wengine wa kutapikwa???😂Ni mali ya baba yangu ila mimi ni mtoto wa wake kabisa kabisa wa kumzaa
🤣🤣🤣🤣🤣 Ila kweli. Dah sasa besty ukipata mtaji kama huu kule kwa muhindi sii utaweza mfilisi jamaniWe usimwambie hivi huyu kijana wa makamo anaonyesha ana msongo wa mawazo anaeza fanya tukio kweli huyu oooho
Una uhakika ni mtoto wake kabisa?Ni mali ya baba yangu ila mimi ni mtoto wa wake kabisa kabisa wa kumzaa
hiyo ni nyumba yake, usimpangie, jenga na wewe yako uza hakuna atakayekupangia,Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.
Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.
Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).
Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,
Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.
Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.
Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Huyo mzee naye siyo legelege, na hivyo anamngojea kwa hamu ambutulie mbali hukoNa anahitaji sana maombi ya kukemea roho ya kumuua Baba yake, umeona anasema hasira aliyonayo hawezi kumwangalia Mzazi wake?
Umethibitishaje kuwa wewe ni mtoto wake wa kuzaa?Ni mali ya baba yangu ila mimi ni mtoto wa wake kabisa kabisa wa kumzaa
Kweli Bora umelileta Jambo hili hapa. Utapata ushauri na misemo ya kukuvunja nguvu na kukuinua pia. Mm nataka kukwambia kuwa Vijana wengi WA miaka hii hufikiria kuwa Mali za Baba au mama ni zao. Huwa hawajui kuwa Baba zao hawakupewa Mali na baba zao yaani Babu yako. Sasa ikiwa Mzee ameamua hakupi chochote basi usubiri urithi Tu maana hyo ndo Haki yako.Ni mali ya baba yangu ila mimi ni mtoto wa wake kabisa kabisa wa kumzaa
Kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa mtoa mada. Wazazi tunatakiwa kuwajengea watoto wetu uwezo wa kujitegemea siku za baadaye kupitia elimu bora na pia kuwaelimisha kuhusu umiliki wa mali. Kwenye hii mada, baba na mtoto wake wote kwa pamoja wanahusika kwa hii sintofahamu.Yaani miaka 41 bado unamtegemea Mzee wako ndo akupe maisha hata ukipewa zote hizo ndani ya miezi 3 zimekwisha.Kama uliweza tafuna 270000 kwa siku tatu wakati huo ni mtaji tosha
Ilifaa awamu iliyopita wangetaifisha zote pesa hizoNenda kamshtaki mahakamani, kakuhujumu, mfungulie shtaka la uhujumu uchumi
kweli we ni KIKOHOZINi mali ya baba yangu ila mimi ni mtoto wa wake kabisa kabisa wa kumzaa