Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

It is the sile reaponsibility of the parent to ensure kuwa mtoto anajitegemea. Listen as humans we plan and in planning u shuld always hope for the best and prepare for the worse. Kuna wazazi wengintuu watotot wao wamewasomesha lakini mpaka leo wapo majumbani. It is not to thier liking hao watoto kuwepo hapa but ndio wat we call life.

Now in time of need a parent should not abadon their child instead parent should offer moral support and kama kweli upo finacially able u shuld help ur child out if need be. Mtoto mwenyewe akiona kwamba mzazi anaonyesha genuine comcern kuhusuana na situation yake ata appreciate. Any parent ambaye ana uwezo but ana mu abadon mtoto wake yeye mwenyewe, huyo ni pure evil and deserves to die in my opinnion.
Kwa umri wa miaka 41? Mbona huyo ni mtu wa umri umeshaenda tayari? Mtoto anayestahili kulelewa ni yule ambaye ni under 18yrs. au yule aliyeko masomoni/Shule/Chuo au ni mlemavu kwa namna moja au nyengine.
Mara nyingi Wazazi huwajua vizuri watoto wao - yupi ana maono (Vision) na ni yupi yupo-yupo tu. Angejiandaa vizuri kwenda kuongea na kumshawishi baba yake kwa maneno(Busara,Hekima na Adabu) na vitendo (awe na kitu cha kuonesha e.g. ka-mradi fulani au shughuli inayohitaji msaada wa kifedha) na sio kuweka madai ya mgao wa fedha. Je, kwa kumtoa Roho baba yake ndo atakuwa amepata anachotafuta? Yaani mtu wa umri wa miaka 41 kweli kabisa bado unakula ugali wa shikamoo? Hapana aisee,ni Aibu, Aibu tupu.
In my opinion the guy is a bogus.
 
Kwani Unamdai Shingapi Mzee wako baada ya Kuuza nyumba aliyojenga kwa Jasho lake?
 
Hivi upo serious?au umetaka tuliokula hela za ada angalau tunyooshe mbavu mkuu?
Unasema una 41yrs alafu ndo unataka utoke kwenu ukaangalie maisha?? Ina maana hujaoa ?huna watoto?? Vp unataka kuanza maisha na 41?? Yy babaako alianza maisha na umri gani?? Wewe na babaako nawaona mna shida kidogo kuna maswali hapa ili tupate jibu ilibidi tumwulize mamaako
All in all pole sana nikushauri mfate baba kijijini ukaendelee kukua umri huo hamna utachoweza kufanya kikasonga maana huna akili🙏🙏
 
Akili ya kawaida itasema ni haki yake, nawe ukatafute vyako.. Lkn hakika hakika, hii ni miongoni mwa vyanzo vya umasikini Africa.. Hakuna muendelezo wa kupambana na umasikini kutoka kizazi kimoja kwenda kingine!
My assumptions ni kwamba mzee ana zaidi ya 60 years, hizo pesa anaenda kutapanya unless ana michoro yake mizuri.

Ningeshauri akupatie 150m mngefungua biashara ya familia yenu na siyo kukupa wewe pesa ukatapanye; yeyote atakayesimamia sawa tu kadiri ya makubaliano yenu, 100m abaki nayo aponde maisha aende na likizo hata Seychelles
Mtu kala 270000 kwa siku tatu

Je atatumia muda gani kula milioni 150?


Mi naona hapa mzee achukue milionb 2 apeleke polisi hili zezeta likakae hata mwaka
 
Unajuaje kama ni baba yako, inawezekana Mama yako alikwishamuumiza hapo nyuma kwa kumwambia hao siyo watoto wake. Ndo maana mzee kauza nyumba asije acha urithi kwa watu baki, hayo yapo sana kwenye jamiii zetu. Akina Mama wengi wanaharibu familia zao kwa maneno yasiyofaa kwa waume zao, hivyo kuharibu familia nzima. Kwa hali ya kawaida baba mwenye upendo kwa watoto wake usingekosa hata 10million, . Pia inawezekana wewe ni mfuja Mali, upo upo tu. Huna mbele wala nyuma na miaka yote hiyo 41. Kwa hali ya kawaida miaka hiyo ulitakiwa uwe na mji wako na nyumba yako au apartment yako na Maisha yako.
Sio kwamba huyo Mzee akutaka kumpa ila jamaa ana haraka siku mbili tu baada ya mauzo wakati Mzee anaendelea kupanga mipango yake vizuri yeye anadai pesa?
 
Wewe una miaka 41,na unategemea vya baba? Pole Sana.TZ tuna Safari ndefu.
 
Unajuaje kama ni baba yako, inawezekana Mama yako alikwishamuumiza hapo nyuma kwa kumwambia hao siyo watoto wake. Ndo maana mzee kauza nyumba asije acha urithi kwa watu baki, hayo yapo sana kwenye jamiii zetu. Akina Mama wengi wanaharibu familia zao kwa maneno yasiyofaa kwa waume zao, hivyo kuharibu familia nzima. Kwa hali ya kawaida baba mwenye upendo kwa watoto wake usingekosa hata 10million, . Pia inawezekana wewe ni mfuja Mali, upo upo tu. Huna mbele wala nyuma na miaka yote hiyo 41. Kwa hali ya kawaida miaka hiyo ulitakiwa uwe na mji wako na nyumba yako au apartment yako na Maisha yako.
😁😁😁😁
 
Pia inawezekana wewe ni mfuja Mali, upo upo tu. Huna mbele wala nyuma na miaka yote hiyo 41. Kwa hali ya kawaida miaka hiyo ulitakiwa uwe na mji wako na nyumba yako au apartment yako na Maisha yako.


Naipenda JF😁😁😁😁
 
Kwa Kweli kuna hatari kwa Wazazi wanaporuhusu matoto kukulia nyumbani

Kuna umuhimu wa wazazi Kuwafukuza nyumbani watoto ambao wamefikia umri wa kujitegemea halafu wapo wapo tu nyumbani...

Hatari hii ni kubwa hasa kwa Watoto wenye akili za kipimbi na kipumbavu kama huyu mtoa mada, mtoto kama huyu hashindwi kuplot hata kutoa uhai wa mzazi wake!!!

Yule wa arusha alishauriwa na rafiki zake wamkatekate mama yake vipande vipande ili waweze kumdubukiza kwenye shimo la Choo!

Wewe alitakiwa mzee akutimue nyumbani mapema kabisa miaka 11 nyuma kabla hata ya kuuza hiyo nyumba

Kama mzazi usikae na Mtu mzima nyumbani kwausalama wako na maisha yako , Ona sasa mtoto anahasira na baba yake tena ya mali

“ kijana ZEE” hili linahasira na baba yake na linaona mali za babake ni zake—— Ujinga kabisa huu

Eti nyumba yetu, pumbavu kabisa
Eti mimi mwanae kabisa kabisa wa kwa kumzaa Nyoko wewe

Huna akili kabisa wewe na hata rafiki zako ni wapumbavu wote Mshenzi wewe

Ole wako tusikie mzee aliyeuza nyumba amedhurika tutajua ni wewe Mbulula wewe!

Babu yangu aliwatimua Watoto wake ikiwemo baba yangu mzazi maskani kwake...tena kwa fimbo na ilikua Usiku... Babu akiwa tajiri wa Ng’ombe Morogoro ndani ndani huko!

Mimi mzee alikata mahitaji yanguu ya kifedha mapema sana na Hii ilinifanya nione umuhimu wa kuwa na changu mapema kabisa
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Kwa umri wa miaka 41 halafu wewe ni mtoto wa mwisho wa huyo mzee inaonekana baba ana miaka zaidi ya 70
Acha ujinga we sio kijana, we ni mtu mzima kbsa,acha baba Yako ale jasho la ujana wake, nenda katafute mali zako
Ninyi ndo mnaua wazazi sababu ya hela
 
Huyu Mzee anahitaji apewe ulinzi.

Mtoa mada ni zile aina za Watu ambao huwatoa roho wazazi wao ili warithi Mali..
 
Nyie watoto ndo mnasababisha tuuze hata mali zetu tumeshaona hamtaweza hata kuzitunza.

Mzee kauza chake acha hela yake akitaka akahonge nyie elimu mmepewa kuitumia hamuwezi mmekaa tu.

Shit
 
Kwakuwa baba yako acha tu, Ila angekupa kiasi Cha kazi ya udalali, kitaa watu wanapewa Cha udalali, na wengine wanapewa na wazazi wao wakistaafu hata kuuza mijengo, mi mzee wangu alistaafu alitutoa kiasi wote, na kuna nyumba alinunua na aliuza alitutoa, bila ya kuomba Wala nini, inatengemea roho ya mtu na makabila nayo.
 
Dawa ya moto ni moto na wewe mkomeshe uza Tecno yako ilio itumia kùpost hapa na wewe usimpe hata kumi ya mauzo maana cm si yako anajua ilivyo isotea kuipata?
 
Back
Top Bottom