Kuna ugali, ndizi, viazi...nenda taratibu utajua vyote hadi huo wali unaozidi maji au mafuta. Halafu utashangaa unakutana na ME anayejua kupika na mtakaa sawa tu. Me wa siku hizi wanajua sana kupika.Wali mbichi sijawahi kuupika...ni either uzidi maji,chumvi ama mafuta
Ingia instagram kwa babyskyWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Rudi kwa mama yako.Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Mfundishe ndugu utakuwa kweli,(Akamanya)!Mungu akusaidie,maana hii ni serious case kama ni kweli mpenz
Wengi ni wale wa EMS!Sio wote.Mwanamke inakuaje hujui kupika?! Yaani kupika like seriously!!
Naloli akamanya,loli ukubhoneka akaja kabhibhi fijo...aukumamnyila mbibhiMfundishe ndugu utakuwa kweli,(Akamanya)!
Tumia akili mnemba ya Rice cooker. Kwanini ujitese wakati teknolojia imeturahisishia mambo mengi kwa sasa?Kuna wakati nashindwa kupima uwingi wa maji na mchele
Hata kama mkuu! Tena chakula chenyewe wali.😀Wengi ni wale wa EMS!Sio wote.
Achana nao bana kupika inatakiwa uwe kitu ni passion kama hauna hata ufanyeje utakua unaboronga tuUpishi niuache bro?
Hapa unavyoniambia hivi niachane nao nafarijika kinyama...kwani kupika lazima?
Mwachiluwi chukua jimbo lipo wazi.Namwambiaje sasa wakati yeye alinielekeza mchongo mzima wa upishi
Kweli Ina maana hata YouTube hachungulii!Hata kama mkuu! Tena chakula chenyewe wali.😀
Mgumuu anajifanya Dr. Mariposa