Msaada/confession: Sijui kupika wakuu

Msaada/confession: Sijui kupika wakuu

Wali mbichi sijawahi kuupika...ni either uzidi maji,chumvi ama mafuta
Kuna ugali, ndizi, viazi...nenda taratibu utajua vyote hadi huo wali unaozidi maji au mafuta. Halafu utashangaa unakutana na ME anayejua kupika na mtakaa sawa tu. Me wa siku hizi wanajua sana kupika.
 
Wakuu,

Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo

Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌

Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...

Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen

Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Ingia instagram kwa babysky
Kisha join madarasa yake anafundisha kupika
Hatua kwa hatua.
 
Back
Top Bottom