Msaada: Familia inahangaika namna gani watawasadia watoto wawili wa nje wa marehemu

Hakuna biashara ya familia.
Baba kaacha nyumba tuu aliyojenga na mkewe na duka la madawa ya binadamu ila nimesikia ni la mkewe maana mkewe kasoma madawa
Hilo duka ndo chanzo cha kipato, na hilo duka si la mkewe ni la familia
 
Hilo duka ndo chanzo cha kipato, na hilo duka si la mkewe ni la familia
Familia ya nani???

Wewe mkeo akiwa na shemeji yako akiwa na duka limesajiliwa kwa jina lake utasema ni la familia mpk wewe unamgao hapo??
 
Familia ya nani???

Wewe mkeo akiwa na shemeji yako akiwa na duka limesajiliwa kwa jina lake utasema ni la familia mpk wewe unamgao hapo??
Nadhani kauli ni marehemu kaacha duka la dawa! na siyo marehemu kampa mkewe duka la dawa
 
Ndiyo shida ya kuzaa nje ya ndoa.
 
Hapa hutapata unachokitaka maana hapa kuna wazaa na wanaume za watu,kuna wanaume Malaya kuna wanawake na familia zao kiufupi hamtoelewana.

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Nashkuru kuzaliwa Muislamu.

Yani in islamic perspective ni suala dogo sana hilo.

Watoto wa nje ya ndoa hawarithi kitu labda baba yao awape yy mwenyewe akiwa hai.

Uzinzi haujawahi kumuacha mtu Salama.
Ujinga ujinga tu wa mapokeo
 
Wamama nao waangalie maana wakishabaki peke yao uwezo wa kutunza Mali unakuwa robo.
 
Mbona hakuna cha kurithi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…