Lavisha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 259
- 212
Bora hakutoa mimbaKwani mama yao si yuko hai? Awalee yeye. Nini kilimtuma alazae na mume wa mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hakutoa mimbaKwani mama yao si yuko hai? Awalee yeye. Nini kilimtuma alazae na mume wa mtu?
Kwenye Sheria(Mahakani)za inchi hakuna mambo ya Uislam au ukristo, Sheria ya inchi hata mtoto wa inje anatambulikaNashkuru kuzaliwa Muislamu.
Yani in islamic perspective ni suala dogo sana hilo.
Watoto wa nje ya ndoa hawarithi kitu labda baba yao awape yy mwenyewe akiwa hai.
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu Salama.
silojirudiaWatoto waishi na mama yao wahudumiwe wakiwa kwa mama yao ila hii tabia kwenye msiba mnapeleka watoto ili iweje sasa
Wakili msomi uko vizuri[emoji4][emoji106]Cha kwanza ni kujua kama marehemu aliacha wosia au la baada ya kujua zoezi linalofata ni kumteua msimamizi wa mirathi na kuwatambua warithi ambapo na hao watoto wawili watajumuishwa kama warithi, kabla msimamizi hajaenda mahakamani kupata barua za kumteua.
Mkishindwa kuwajumuisha kama warithi wa mirathi ya baba yao wakienda mahakamani mapema tuu wanapewa chao, kesi ya Judith Patrick Kyamba and others vs Tunsuume Mwimbe Mahakama kuu iliyokaa Mbeya ilishasema kuwa watoto wa nje ndoa wana haki sawaa na watoto waliozaliwa ndani ya ndoa.
Huo Ni uchoyo[emoji848]Nashkuru kuzaliwa Muislamu.
Yani in islamic perspective ni suala dogo sana hilo.
Watoto wa nje ya ndoa hawarithi kitu labda baba yao awape yy mwenyewe akiwa hai.
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu Salama.
NakaziaNashkuru kuzaliwa Muislamu.
Yani in islamic perspective ni suala dogo sana hilo.
Watoto wa nje ya ndoa hawarithi kitu labda baba yao awape yy mwenyewe akiwa hai.
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu Salama.
Uchoyo na ubinafs wa kipumbavu unawasumbuaNdugu wa marehemu ndo "hamna akili"...yaani aende mahakama kudai nini?
Nyinyi watoto wawili mnashindwa kuchangishana mkawalea?
Hivi marehemu angekufa Hana kitu mngeshauri mama WA hao watoto aende wapi kudai nini??
Sawa,wazazi wamezini. Watoto ndo wawe victims wa dhambi za wazazi wao?Nashkuru kuzaliwa Muislamu.
Yani in islamic perspective ni suala dogo sana hilo.
Watoto wa nje ya ndoa hawarithi kitu labda baba yao awape yy mwenyewe akiwa hai.
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu Salama.
Ni nyumba moja tuu, Marehemu alijenga na mkewe wamemuachia mkewe tuu hakuna namna. Marehemu hana mali nyingi ,Ubinadamu pia ni muhimu, ni watoto wasiyo na hatia ya baba kuchepuka, hakuna jinsi, walelewe tu. Ikiwa ni urithi, bado ni wadogo, zaidi kitachofanyika ni kumteua msimamizi, afate taratibu na ikifika wakati sahihi watagawanya kitachokuwepo, ila in a meantime, bi mkubwa anawajibika kutoa kiasi kidogo kuhakikisha hawa wanakula na kusoma. Kumbuka hiyo mali watoto wote wana haki sawa isipokuwa huyo mke wa nje.
Hao watoto bado wadogo, bado umri wa kurithi, ila isipokuwa inabidi kipato hikohiko kitumike kuwalea endapo wanahitaji usaidizi.Ni nyumba moja tuu, Marehemu alijenga na mkewe wamemuachia mkewe tuu hakuna namna. Marehemu hana mali nyingi ,
Gari wamemuachia tuu
Kipato cha nani?Hao watoto bado wadogo, bado umri wa kurithi, ila isipokuwa inabidi kipato hikohiko kitumike kuwalea endapo wanahitaji usaidizi.
Kipato kutokana na vyanzo vya fedha vya familia, au alivyoacha baba.Kipato cha nani?
Hakuna biashara ya familia.Kipato kutokana na vyanzo vya fedha vya familia, au alivyoacha baba.