Msaada: Huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake?

Hizo ni faghasi mkuu,na uwa zinatokeaga kama ukifanya ngono na mwanamke ambae yupo hedhini,hapo kapate dawa pia uwaga zinakaukaga zenyewe maana kuna kipindi wakati napenda ngono kama miaka 6 iliyopita mimi ilikauka zenyewe maana ninagroup o hila kama unadamu changa nenda ukachome sindano hizo ni faghasi
 
Njoo pm,dawa ipo,haizidi hata shs 10,000 na ndani ya siku 3 ataona matokeo
 
Watu wana uelewa mdogo sana humu

Wapiga puchu sidhani kama mtafanya hivyo milele
Magonjwa yapo tena hatari kuliko hilo lakini haimaanishi kwamba ndiyo tusichakate mbususu, mbususu ni lazima zichakatwe

Aliyepata huo ugonjwa siyo kwamba ndiyo ana hatia sana kuliko sisi wengine
Kosa lake hapo ni kudharau ugonjwa kwa kuchelewa kwenda hospitali
Kwasababu kipele hata kimoja kikiota hapo kichwani tayari kuna shida
hapo huwa pako soft hapakai kitu ooote hapo kabisa ukiona dalili tu wahi hospitali
Sa unakaa hadi Ndonga inaoza dingii utasuuzia nini asee

Puchu ni stage tu ya ukuaji mwanaume smart hapigi puchu lazima uwe na stamala

Mpiga puchu hana namna anayoweza kumridhisha mwanamke


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…