Msaada: Huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake?

But Huyo siyo govi doctor ametairiwa. Huo ugonjwa si unawapa zaidi magovi
Hapana, Japo kama ulivyosema most of pt ni wenye magovi..

Lakini pia wasio na Magovi huwa wanapata japo kwao inaweza kusababishwa na Microscopic mites anayeitwa Sarcoptes scabiei..Na inaweza pia ikaitwa kwa lugha ya Haraka haraka ni Penile Scabies...

Japo kwa sasa Imekuwa kubwa sana kwa kasi watu wengi sana wanaugua nahisi ni Kutokana na Hygiene kuwa ndogo..
 
Vipi unapata uwasho katika mikono na mskalio.?

Je una vipele kwenye makalio ambavyo huwasha hasa nyakati za usiku ?


Je huwa unapata muwasho hasa nyakati gani,usiku asubuhi au mchana ?
 
Wazee hizi K sometimes zinabeba magonjwa ya ajabu. Nikikumbuka mm nilikuwa nawashwa mpaka nikawa najikanda majimoto yenye chumvi lakini mapele ndio yalikuwa yanazidi kwenye kichwa cha libolo. BBE inasaidia japo sina uhakika kama inaweza match na kwako pia

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Hii inaonekana kutoka kwa wale wa samaki samaki pale mlimani
 
Na limao au ndimu
Inaonekana mdau alikuwa kwenye harakati za kukitupa Cha mkono ila vidonda vimemkwamisha
1. Kashavua kila kitu yupo juu ya godoro
2. Pili kashika simu. Hii inaashiria kuwa ilitakiwa kuwa nyenzo muhimu ya kuangalia video za ngono kupata stimu (Busta)
Hapo baad ya zoez kushindikana ndo ameona bora atafute suluhu kwa kurudi kwenye kamera na kupiga picha.

Nb: kupiga nyeto sio dhambi, tuendelee kujifukiza vijana pesa ngumu msihonge. Sabuni ya magadi 100, Dem 20,000 tunza kibunda chako
 
Shemeji umenishinda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwahiyo alikuwa anataka kujichukulia sheria mkononi!!!
 
Hii mashine kwa usalama wako inatakiwa kukatwa kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…