Yan Hawa me naona dalili za December kutoa majina
😀😀 Dah hatari sana ,ndo mpaka hiyo december Sasa acha wakae na ma pdf yao.Duuuh tar4 inaenda kupita tena aisee.....
kwa hali inavyoonesha hii ya magereza inaonekana kama imeisha hyo kweli miez miwil bado tu? na hata kama wakitoa majina bas watatoa majna yao ya moja kwa moja tu
subr tuone mwsho wake kama hujaskia watu wanapga kozKuhusu kwamba watu washachaguliwa sio kweli.......ila kuna uwezekano majina kutoka moja kwa moja
Moja kwa moja means hakuna usahili mkuu or??Kuhusu kwamba watu washachaguliwa sio kweli.......ila kuna uwezekano majina kutoka moja kwa moja
ndio anachomaanshMoja kwa moja means hakuna usahili mkuu or??
Duuhhndio anachomaansh
Duuhh
Usaili Ni lazima ,huwezi kuanza kozi huku hawaja jiridhisha na afya yako ,usije kukata Moto wakati wa mtizi.Moja kwa moja means hakuna usahili mkuu or??
Usaili lazima siku zote,Usaili Ni lazima ,huwezi kuanza kozi huku hawaja jiridhisha na afya yako ,usije kukata Moto wakati wa mtizi.
Hawesemi aisee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ilikuwa danganya Toto🤭🤭🤭🤭🤭🤭Hawa Magereza huenda wameghairisha kozi [emoji38][emoji38][emoji1787]duh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilikuwa danganya Toto[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]