Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Washa onesha uzembe mkubwa Sana. Haya mamb sio ya kuficha ni kuweka wazi tu mapema mwenyekukosa akose na mwenyekupata apate tungojee intake nyingine .
 
kwa hali inavyoonesha hii ya magereza inaonekana kama imeisha hyo kweli miez miwil bado tu? na hata kama wakitoa majina bas watatoa majna yao ya moja kwa moja tu
 
kwa hali inavyoonesha hii ya magereza inaonekana kama imeisha hyo kweli miez miwil bado tu? na hata kama wakitoa majina bas watatoa majna yao ya moja kwa moja tu

Kuhusu kwamba watu washachaguliwa sio kweli.......ila kuna uwezekano majina kutoka moja kwa moja
 
Hawa Magereza huenda wameghairisha kozi [emoji38][emoji38][emoji1787]duh
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilikuwa danganya Toto[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Inawezekana aisee duh sio poah
 
Back
Top Bottom