Simu yanini???kama una Shida si kuna wakufunzi wako utawaeleza???Kwanini Wana nyima watu kwenda na simu huko mafunzoni
Kazi kweli kweli mwendo wa minyoosho tuSimu yanini???kama una Shida si kuna wakufunzi wako utawaeleza???
Wakati mwingine uraia wetu unachagizwa tusiruhusiwe Kwenda simu
Kupiga picha kuelezea mwenendo wa kozi kulialia Kwa baba nyumbani chakula cha kozi kibaya mazoezi magumu nk
Muda ukifika utatumia simu uraia ukishaondolewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitakubeba mgongoni usijali [emoji39]
Nadhani ni vitu vya kawaida na kwa kuwa ni kwa muda flani basi watakaobahatika wakavumilie warudi wamekula viapo vyaoKazi kweli kweli mwendo wa minyoosho tu
Kwa kweli and I do believe hamna kinachoshindikana na wataweza vizuri kwani wengine wanaoweza huwa Wana nini na wao washindwe na nini.Nadhani ni vitu vya kawaida na kwa kuwa ni kwa muda flani basi watakaobahatika wakavumilie warudi wamekula viapo vyao
Unanikumbusha jkt jmn siku ya intro kulikua na zoezi la kubebana vibonge walikuwa wanakataliwa kubebwa[emoji23][emoji23][emoji23]Nitakubeba mgongoni usijali [emoji39]
Kila kaz na changamoto, chamsingi malengo, mtu anaenda upolisi na plan A, ukiwa na plan B huwez kuona changamoto, kwan utafanya kaz kuanza plan B.
Wakuu mmemsikia waziri wa mambo ya ndan jana kuhusu Jeshi la magereza kuitaj askar zaid ya kuliko idadi iliyotajwa ya Askar 700 kwan wengi waliokuwepo Wamepandishwa vyeo ivyo Askar wa kushinda na wafungwa magengeni shamban wamepungua saaaaana na isitoshe wengi wanaacha kwan wanasema kukaa na wafungwa mashamban na kuwalinda haina tofaut na askar nae kuwa kama mfungwa tu ivyo Watu wengi mwanzo kabla hawajaajiriwa wanakuwa na mawazo tofaut kuhusu kuwa askar magereza ila baada ya kupata kazi nakuona kaz ilivyo wanakuwa hawaipendi kazi tena.
Ivyo wanataka kuongea na Rais waone kama wataweza kuwaajir hata darasa la 7 na kama unamafunzo ya mgambo Kama Rais atakubal kwan form 4 nao Wamekuwa Morali na kazi wakifka kazn hawana tena....
Usahili wa zimamoto na magereza walipishana siku ngapi?!! ndo yaweza ikawa ratio hiyo hiyo ya kupishana kw mkeka pia....ni mawazo yangu nafkr hvyoNa magereza watatoa soon nadhani hadi kufikia jumapili watakua tearii wametoa
Usahili wa zimamoto na magereza walipishana siku ngapi?!! ndo yaweza ikawa ratio hiyo hiyo ya kupishana kw mkeka pia....ni mawazo yangu nafkr hvyo
Bro kila tangazo unalo๐๐๐๐๐ Thanks for reference. Upo vizuri kamandaView attachment 2053508
View attachment 2053509
Zimamoto waliita usaili TAREHE 24-27 NOVEMBER
Magereza waliita usaili TAREHE 2-6. DECEMBER
nadhani hapo tofauti ni 1 week kama sijakosea
Mwanangu Mr. Generous uko active sana kwenye huu uzi na najua Ni miongoni mwa contesters nakutakia kila la kheri Kaka.