hilo limefanyika tayari, na line zangu pia huwa zina PIN muda woteMkuu, haraka sana wasiliana na mtandao uliokua unautumia ili waweze kufunga hizo line zako. Niliwahi kuibiwa halafu wezi wakaanza kuwatumia message watu kwa simu yangu wakiomba hela kuwa nimepatwa na dharula. Hii ifanye haraka sana
Sana, halafu kama vile walijua ni mpyaPole jaman wezi wanarudishana sana nyumaaaaa
hiyo 120k natoa kabla au baada ya simu kupatikana?Uje na 120k Pm simu yako irudi unywe maji ya kutosha [emoji856][emoji856]
Atakuwa adriz na hydroxoNilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Ila Herbalist Dr MziziMkavu 😁😁😹Pole sana kwa hayo matatizo yaliyokukuta Tafuta nyuki awe mzima mtie katika kijichupa kisha funika nitafute mimi kwa wakati wako uje nae huyo nyuki nipate kumshughulikia ili aweze kuirudisha simu yako. Nyuki atakwenda kumtafuna na wenzake wengi watajenga mzinga kichwani mwake mpaka arudishe simu yako.
Mzee wewe si upo abroad, atakutafutaje sasa[emoji2][emoji2][emoji2]Pole sana kwa hayo matatizo yaliyokukuta Tafuta nyuki awe mzima mtie katika kijichupa kisha funika nitafute mimi kwa wakati wako uje nae huyo nyuki nipate kumshughulikia ili aweze kuirudisha simu yako. Nyuki atakwenda kumtafuna na wenzake wengi watajenga mzinga kichwani mwake mpaka arudishe simu yako.
Computer je?Hii simu ya kuandika hapa umepata wapi?
Mbona unaomba ushauri kwakufoka? Au ndio yeye alipita nayo? Au kagusa kidonda kibichiAkili zako ndogo sana, kuingia Jamii Forum lazima simu? Au hujui kwamba kuna computer, umeshindwa kusoma hapo kwamba nilikuwa naenda kazini
Akikujibu nitagMalipo ni baada ya kazi..
Kwakufikiri kuwa mtu akiibiwa simu hawezi kupata access ya kuingia mtandaoni.Kwanini umesema hana akili?
Thanks bro, imebidi nikope hela sehemu nivute nyingine maana simu inanisaidia sana kwa kazi zangu.Pole sana mkuu!
Kuna stori nyingi kwamba smartphone ikiibiwa ni rahisi kuipata.
Ila uhalisia ni tofauti kidogo.
Kuna kimeo natumia hapa samsung j6 kama hautajali nikuazime, japo haikai na chaji ukinunua utanirudishia.
Ona ili jinga!!!kwa hiyo ulikuwa na simu mbili, ? maana umeibiwa simu na kuanzisha uzi wa kuibiwa simu
Unatakiwa ulipe kwanza nusu na ukafanyiwa simu ikirudi usipo maliza pesa yako nyuki atakurudia wewe kukumaliza kama alivyomaliza mwizi.Malipo ni baada ya kazi..
Hakuna kitu kinacho shindikana isipokuwa ni kifo alichokuandikia Mungu hakina kinga vilivyo bakia vyote vina dawa zake. Akitaka nimrudishe mwizi aliyeiba simu yake nitaweza ili mradi alipe gharama zangu nitakazo mwambia. nitamtumia mwizi nyuki wengi waende kumkamata mwizi na kumleta kwa mtu aliyeibiwa na kuipata simu yake. Na pia kuna Dawa ya kinga ya Sumu ukiwekewa katika chakula au kiti cha kukalia au katika maji hutoweza kuyanywa hayo maji na Chakula kitakukataa utanusurika na hiyo Sumu uliıyotegewa. Na kinga ya Risasi ukipigwa risasi haitoweza kukuingia mwilini mwako. Kinga ya majambazi wamekuzingira wanataka kukuchulia Pesa unapotea mbele ya macho yao kimaajabu na unajikuta upo sehemu salama. Hizo kinga zote zipo kwa anayehitaji ataniona Mimi Kwa Wakati wake.Ila Herbalist Dr MziziMkavu 😁😁😹
Hakuna kinachoshindikana kwako.