- Thread starter
- #61
hilo limefanyika tayari, na line zangu pia huwa zina PIN muda woteMkuu, haraka sana wasiliana na mtandao uliokua unautumia ili waweze kufunga hizo line zako. Niliwahi kuibiwa halafu wezi wakaanza kuwatumia message watu kwa simu yangu wakiomba hela kuwa nimepatwa na dharula. Hii ifanye haraka sana