Msaada: Kichwa kinawaka moto kwa mawazo, nakosa usingizi

Msaada: Kichwa kinawaka moto kwa mawazo, nakosa usingizi

Nilimuacha dem wangu dar pisi kali kinoma nikaja mkoani kujitafuta siku zilivyokua zinazidi kwenda mawasiliano yakawa yanapungua inaweza pita siku hatujawasiliana, nikajiongeza nikaamua kumfungia vioo nayeye akafanya the same nikawa naview status zake za mafumbo baadae nikaamua kuacha na kuangalia status zake tho naumia coz nilimpenda ila maisha ndio yametutenganisha uwezo wa kumuhudumia sasa mimi sina bado najitafuta, ni mwanamke mzuri lazima atapata mtu mwenye uwezo, G nilikupenda ila nimeamua nijitenge ili kuepusha mengi, haya maisha kama huna hela mapenzi weka pembeni. Am out.
Ndomana hutakiwi kupenda sana
Kwenye maisha yako mapenzi yape asilimia chache tu

Ova
 
KAMA upo Dar njoo pm nikupe namba ya daktari bingwa wa magonjwa ya akili,huyu jamaa atakusaidia Ila tu ,dawa ni bei kidogo kwenye maduka ya mtaani Kwa town bei ni rahisi Tu,ila utapona na kurudi sawa as per doctor instructions

Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
Kumuona huyo specialist bei gani?
Au bure

Ova
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.

Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.

Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.

Naombeni msaada.
Unafanya kazi gani? Niko serious nikushauri namna bora ya kutatua tatizo.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Meza citaloprilom 20mg kidonge kimoja na promethazine 20mg vidonge viwili kila siku usiku
Acha kujenga hofu ya kupata usingizi just relax utakuja tu wenyewe

Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
Mkuu hapa sio kabisaaaa..... Mashauri aende hospitali apewe dawa Kwa uangalizi mzuri apone. Dawa kama njugu person atapata maudhi na kukosa faida....... Je kama amemeza TCA juzi? Au chai yake ni ya st. John's wort???........ Chonde Chonde Kuna sababu ya watu kukesha wanasoma kuweza kutoa huduma kikamilifu....
 
(malaya ni hatari) . bangi itakufanya uone shida zako ndogo tofauti na pombe
Bangi inasaidia Kwa wakati Huo ila ni sumu inayoua seli za ubongo polepole. Ubongo utasinyaa siku zinavyozidi kwenda na mtu anazidi kutumia Kwa wingi. sehemu kuu za kuongeza njaa na shine, Usingizi, ari ya kufanya kazi zinaathirika...... Unaanza kuhitaji kushtua kupata njaa.... Kushtua kwenda job nk..... Kuna tiba ambazo hazita dhohofisha ubongo na mtu atajiskia Amani bila hofu.
 
Bangi inasaidia Kwa wakati Huo ila ni sumu inayoua seli za ubongo polepole. Ubongo utasinyaa siku zinavyozidi kwenda na mtu anazidi kutumia Kwa wingi. sehemu kuu za kuongeza njaa na shine, Usingizi, ari ya kufanya kazi zinaathirika...... Unaanza kuhitaji kushtua kupata njaa.... Kushtua kwenda job nk..... Kuna tiba ambazo hazita dhohofisha ubongo na mtu atajiskia Amani bila hofu.
Kk ni zipi hizo njia nyingne tofauti na bangi nayotaka kuanza kutumia Kwa sababu dawa za hospital nimetumia Kila aina hazitibu tatizo zinaleta dependency tu namm shida yangu ni kupata usingizi tu afu nipambane
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.

Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.

Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.

Naombeni msaada.
Pole mkuu hiyo Wala usihangaike sana onana na Hawa wachungaji wawili update huduma ya pastoral care utanishukuru Moja nenda pale kijitonyama Lutheran omba kuonana na Rev.Kimaro ama nenda pale kimara korogwe Lutheran church omba kumuona Rev.Mastahi utanishukuru haya mambo actually ni ya ulimwengu wa kimwili lakini yanaongozwa na ulimwengu wa roho go there and you Will get your healing
 
Bangi inasaidia Kwa wakati Huo ila ni sumu inayoua seli za ubongo polepole. Ubongo utasinyaa siku zinavyozidi kwenda na mtu anazidi kutumia Kwa wingi. sehemu kuu za kuongeza njaa na shine, Usingizi, ari ya kufanya kazi zinaathirika...... Unaanza kuhitaji kushtua kupata njaa.... Kushtua kwenda job nk..... Kuna tiba ambazo hazita dhohofisha ubongo na mtu atajiskia Amani bila hofu.
dawa zote ukijioverdose lazima upate shida... bangi ni ancient medicine inatibu anxiety,depression na insomnia sugu
 
dawa yako anayo Bwana Yesu. nikuhakikishie!

usiende kwa hawa watumishi makanjanja wauza mafuta na maji.

AMUA KWA DHATI YA MOYO WAKO KUMPA YESU MAISHA YAKO, ATAKUOKOA.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Waafrika ndio tunafeli hapa
 
Kk ni zipi hizo njia nyingne tofauti na bangi nayotaka kuanza kutumia Kwa sababu dawa za hospital nimetumia Kila aina hazitibu tatizo zinaleta dependency tu namm shida yangu ni kupata usingizi tu afu nipambane
jaribu bangi halafu leta mrejesho achana na madawa ya hospitali ila jicontrol usiwe teja tu
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.

Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.

Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.

Naombeni msaada.
Watu kama ninyi ukitaka kuwa sawa basi niachie usiwe mgumu sana na maisha ishi kwa kuenjoy maisha na wanna ...nenda club, cheza hakikisha unafurahia hadi utapoona upo sawa..
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.

Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.

Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.

Naombeni msaada.
Wewe Sasa ukijiuwa utapata kazi? Acha ufala wewe.Mimi nilikuwa na nyumba nne na gari 8 nanilipoteza zoote ila sikuwazaga hata kujiuwa.Wewe ni msomi shida Yako ni AIBU unataka uwe ofisini?? Tafuta biashara ndogondogo ufanye ukiwa unasubiri baraka za Mungu.Fanya kazi yeyote ya Halali upate kula,tumbo linataka chakula daily haisubiri upate kazi kwanza.Ukiwa na shughuli ndogo za kufanya huwezi kuwa na mawazo ya kipuuzi hayo.Hasara ya kujiuwa ni kwamba Mungu atakudai roho yake aliokupa na utaishia kwenye Moto.Ukome kwenda Kwa Manabii FEKI watakupoteza akili na matumaini ya uongo.Soma Bible na ufunge utaona .maajabu.Zoma Zaburi.
 
Back
Top Bottom