Wakuu, nipo huku Mtwara ndani ndani,natamani kujiendeleza kielimu ngazi ya degree kwa kozi za Afya.
Naomba mnielekeze chuo kizuri cha nje ya nchi ambacho kinatoa elimu kwa njia ya masafa na kinachotambulika na TCU.
Napokea pia ushauri wa kozi nzuri za Afya ambazo mtu anaweza kusoma kwa njia ya masafa. Kozi iwe nzuri tu sio lazima iwe na soko sababu kazi tayari ninayo.
Mie nilikuwa napendelea Kozi ya Nutrition. Elimu yangu ni Afisa tabibu.
NB: OUT sio option kwangu sababu GPA yangu hainiruhusu kusoma hapo kozi nayotaka. Na sielewi kwanini kozi ya Nutrition imewekewa GPA kubwa hivi.
Naomba mnielekeze chuo kizuri cha nje ya nchi ambacho kinatoa elimu kwa njia ya masafa na kinachotambulika na TCU.
Napokea pia ushauri wa kozi nzuri za Afya ambazo mtu anaweza kusoma kwa njia ya masafa. Kozi iwe nzuri tu sio lazima iwe na soko sababu kazi tayari ninayo.
Mie nilikuwa napendelea Kozi ya Nutrition. Elimu yangu ni Afisa tabibu.
NB: OUT sio option kwangu sababu GPA yangu hainiruhusu kusoma hapo kozi nayotaka. Na sielewi kwanini kozi ya Nutrition imewekewa GPA kubwa hivi.