Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Habari.

Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.

Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.

Hali hii inatokea pia na mchana.

Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.
 
Habari.

Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.

Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.

Hali hii inatokea pia na mchana.

Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.
Huyo mtoto atakuwa na shida ya kiafya mpelekekwa Dr Sameer (Dr wa watoto) ampe tiba mkuu
 
Jitahid kumbeba began yaan mkumbatie kichwa chake kilale juu ya kufua ili apumue kutoa ges,na ukimlaza kitandan mlaze kwa tumbo,gesi inamsumbua ndo maana anashindwa kulala na kunyonya vizur,kila akimaliza kunyonya acheulishwe ndo alale
 
Habari.

Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.

Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.

Hali hii inatokea pia na mchana.

Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.
Kiimani mmekaaje?
Mnasali kabla ya kulala na baada ya kuamka?
Je unaishi kwenye nyumba yako au umepanga?
Mwenendo wa majirani upoje?
 
Habari.

Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.

Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.

Hali hii inatokea pia na mchana.

Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.

Mtoto hashibi kwa maana maziwa ya mama yake hayamtoshi. Chemsha uji mwembamba uchemke kweli yaani kwa muda mrefu. Mpe vijiko vichache anywe, kesho rudi na mrejesho.
 
Jitahid kumbeba began yaan mkumbatie kichwa chake kilale juu ya kufua ili apumue kutoa ges,na ukimlaza kitandan mlaze kwa tumbo,gesi inamsumbua ndo maana anashindwa kulala na kunyonya vizur,kila akimaliza kunyonya acheulishwe ndo alale
Nimeshaualiwa nimpatie infacol na mafuta ya samaki (scotts), ni sahihi?
 
1. Hiyo hali ni ya kawaida sana. Yawezekana ni uzao wa kwanza kwako.
Mtoto mdogo anaponyonya,kadri siku zinavyoongezeka,hata unyonyaji wake unaongezeka. Hivyo,utumbo wake hupanuka. Katika kupanuka huko,lazima ahisi maumivu,ndo yanayomfanya alie mara kwa mara. Wewe umeiweka kama kuna mazingira fulani. Hayapo.
Si yo wote, aailimia ndogo wanaweza kukuwa bila kulialia huko.
Pia,kuna dawa wanapewaga kutuliza maumivu hayo. Kuna wanaopata nafuu,na wengine haisaidii. Usiwe na wasiwasi,ni kawaida.
Kama ulivyoelekezwa, sijui kwa nini,lakini pia na wewe kumlea ni lazima. Kudekezwa kunamsaidia. Kama utabaki kifua wazi,au kivyovyote,unatakiwa umlaze kifuani mwako mkiwa uchi. Hii kitu sijui ina uhusiano gani na maumivu,lakini inasaidia.
 
Habari.

Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.

Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.

Hali hii inatokea pia na mchana.

Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.
Mtoto wa ngapi huyo mkuu
 
Back
Top Bottom