Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

Watoto wakilia Kuna tatizo na hiyo ni namna ya kujiexpress kwake,so hata liwe dogo au kubwa lazima litatuliwe Ili mtoto awe comfortable,hebu zungumza na bibi yake,they always knows how to deal with these sorta things.
 
Mtoto anatoa wapi gesi?
Tumbo lake bado sio imara,so maziwa yanasababisha gesi,ndio maana akimaliza kunyonya analazwa begani Ili acheue,au kama Hana utulivu unamlaza tumbo lake kwenye paja lako unakuwa unamsugua sugua tumboni....njia rahisi ya kujua mtoto ana gesi piga tumbo lake na kidole huu upande wenye kucha taratibu utasikia mlio kama ngoma, hapo ujue tumbo limekaza Kwa ajili ya gesi
 
Nimeshaualiwa nimpatie infacol na mafuta ya samaki (scotts), ni sahihi?
Kwani anasumbuliwa na tumbo? Mkuu mtoto anajiadjust kwenda na masaa ya duniani.alivokuwa tumboni alikuwa analala mchana usiku anakesha.muache atabadilika.inachosha balaa ila akifika miezi 3 au 4 anaacha mtalala tu vizuri.mimi nilikonda vibaya mno kwenye uzazi yaani nakuelewa
 
Tumbo lake bado sio imara,so maziwa yanasababisha gesi,ndio maana akimaliza kunyonya analazwa begani Ili acheue,au kama Hana utulivu unamlaza tumbo lake kwenye paja lako unakuwa unamsugua sugua tumboni....njia rahisi ya kujua mtoto ana gesi piga tumbo lake na kidole huu upande wenye kucha taratibu utasikia mlio kama ngoma, hapo ujue tumbo limekaza Kwa ajili ya gesi
Jamani kitoto changu kinajamba j . Namfanyisha mazorzi ya kutoa gesi lakini kanajamba hatari.ila tumbo halimsokoti sijui kana mtungi wa gesi tumboni?
 
Hivi mnadhani kulea rahisi eeh?😀😀

Kwenye kukuza mtoto mambo ni mengi sanaa....

Sema kizazi cha sasa wanadhani kukuza mtoto ni jambo rahisiiii...

Kwenye malezi kuna kukesha, mtoto kuumwa, anaweza akazidiwa akalazwa, akazidiwa mpaka akawa unconscious, au afe kabisa.

Msicheze na malezi..
 
Hivi mnadhani kulea rahisi eeh?😀😀

Kwenye kukuza mtoto mambo ni mengi sanaa....

Sema kizazi cha sasa wanadhani kukuza mtoto ni jambo rahisiiii...

Kwenye malezi kuna kukesha, mtoto kuumwa, anaweza akazidiwa akalazwa, akazidiwa mpaka akawa unconscious, au afe kabisa.

Msicheze na malezi..
Acha kabisa mtoto anabadilisha kabisa maisha ya mtu.kipindi Niko mjamzito I used to say nikijifunguq nitalalaa maana kwenye ujauzito nilikuwa siwezi kulala nilivojifungua sasa wee mchakamchaka hata sijui kama unaweza kulala kizembe umuachie mtu mwanao.hadi nilishakuwa sugu .malezi Acha kabisa.hapa yenyewe sijui tutalala saa ngapi.babake anajamba jamba tu huko
 
Jamani kitoto changu kinajamba j . Namfanyisha mazorzi ya kutoa gesi lakini kanajamba hatari.ila tumbo halimsokoti sijui kana mtungi wa gesi tumboni?
Hiyo ni simple tu...KANASHIBA VIZURI 😁
 
Acha kabisa mtoto anabadilisha kabisa maisha ya mtu.kipindi Niko mjamzito I used to say nikijifunguq nitalalaa maana kwenye ujauzito nilikuwa siwezi kulala nilivojifungua sasa wee mchakamchaka hata sijui kama unaweza kulala kizembe umuachie mtu mwanao.hadi nilishakuwa sugu .malezi Acha kabisa.hapa yenyewe sijui tutalala saa ngapi.babake anajamba jamba tu huko
Na hapo ujue kila mtoto anakuja na style yake, huwezi sema kwa sababu huyu hajanisumbua basi anayefuata atasumbua na viceversa....

Mwanaume alazima ajampejampe maana malezi ni ya mama, sasa hapo unategemea yeye afanye nn...
 
Jamani kitoto changu kinajamba j . Namfanyisha mazorzi ya kutoa gesi lakini kanajamba hatari.ila tumbo halimsokoti sijui kana mtungi wa gesi tumboni?
Daah kimerithi tabia yako ya kujamba jamba hovyo.😀
 
Mtoto hashibi kwa maana maziwa ya mama yake hayamtoshi. Chemsha uji mwembamba uchemke kweli yaani kwa muda mrefu. Mpe vijiko vichache anywe, kesho rudi na mrejesho.
Mtoto wa miezi miwili siyo vizuri kumuanzishia kula chakula, kama uwezo unaruhusu amtafutie mtoto maziwa ya kopo special kwa infants kuna S1, Aptamil.. pia mama wa mtoto anaweza kukamua maziwa yake na kuhifadhi ikifika wakati wa usiku anapasha moto na kumpa dogo.
 
Comments nyingi ni nzuri,

Bt umenikumbusha historia ya maisha yangu ya utoto,

Nilipokuwa na umri wa miaka 11 hv, tuliishia nyumba Moja ya kupanga, na mwenye nyumba wetu alikuwa wa Dini Ile, baba wa mama mwenye nyumba alikuwa sangoma, nyumba tuliyopanga sie alikuwa akiishi mwenye nyumba, alipohamia nyumba mpya mtaa wa pili, sie tulipangishwa nyumba hiyo.

Mdogo wangu wa mwisho akiwa na umri kama huo wa mwanao, alikuwa usiku halali, ni kulia usiku kucha, tumia dawa za gesi wapi, mchana analala vizuri tu,

Baada ya siku kadhaa kupita, my dad baada ya tafakuri ya kina, akapata wazo la kuifanyia Ujasusi nyumba ile, alianzia chini hakuona chochote, alipopanda juu ya Dari na kupiga search ya maana, alishuka Toka darini akiwa na kijimfuko cheusi kilichokuwa kimefungwa, baada ya kukifungua,ndani ya mfuko huo kulionekana vitu ambavyo sitavitaja hapa.

Mzee alivichukua na akavipiga moto.

Kuanzia siku Ile, dogo alilala Ule USINGIZI wa mtoto mchanga anatakiwa kulala.

Good morning!!
 
WAPENDWA AHSANTE SANA, ILIKUWA ANASUMBULIWA NA MCHANGO. AMEPONA NA YUKO SALAMA KABISA.
 
U can't be serious yaani mtoto wako anasumbua halali hujaenda hata hospital unakuja kuomba ushauri jf ? Embu tujaribu kuthamini afya za watoto wetu kwa kuwapeleka sehemu sahihi pale afya zao zinapotetereka, humu jf utapata ushauri wa Kila aina na huyo mtoto ni mdogo mno kwa baadhi ya vitu unavyoshauri humu ndani.

Usiwe kama wazazi wa Gaza wanaosubiri watoto wao wafumuliwe na mabomu ya IDF Kisha wanawabeba juu juu wakipiga picha maiti kuonyesha ulimwengu wakati walikuwa na nafasi ya kuwaepusha na kifo kabla.
 
Chukua ma apple 3/4 katakata vipande weka maji lita 1/had 1.5 chemsha dk then acha yapoe mpe ,(ratba hii ni ya usiku tuu kuanzia saa 1 had saa 7 usiku, au muweke chuma ya kunyonya expaya ya. Maji hayo kama hutotunz kwa frigi ni over 36Hrs
 
Back
Top Bottom