MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

Ila hao ni bacteria.tafuta dawa ya fungus na bacteria
Ila sijaumwa k siku nyingi
Kama husex tuseme kweli k haisulubiki na maradhi
Pole Sana najua muwasho wake
Unakuja kinembe na kinatoa damu nyekunduuuu.kuliko wekundu wenyewe.damu yenyewe inajua sehemu ya kukaa
 
Daah (samahani sana)mpaka nimedindisha!!

Pole sana mkuu Mungu atakusaidia nenda hospital kabla wahuni hawajaomba picha .
 
Huna lolote tushakijua unachokitaka.
 
Tafuta dawa ya SONARDEM maduka ya phamasy baada ya siku mbili uje utoe mrejesho hapa
 
Kwa hiyo aweke picha ya kinembe eti!??
 
Mhmm.!! BBE apake ukeni?
Nyie mtakuja kusababishia watu matatizo zaidi 😒
 
Usirahisishe mamba hivyo I see, usikute jamaa alivua soks bila wewe kujuwa kwa maana uwa data zenu zinazima mkiwa mnapelekwa KIBLA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…