Doreen wa mond?mbona demu mwenyewe mbaya sana hana Nyuma wala mbele
Mwenye picha ya huyo Doreen aweke hapa ili tuone GODZILLA anaumia kiasi gani, usije kuta ni ukata sio demu
ingia fb andika dee andy ndio huyoMwenye picha ya huyo Doreen aweke hapa ili tuone GODZILLA anaumia kiasi gani, usije kuta ni ukata sio demu
Hahahahhahahahah ndio bongo yetu mkuuuHalafu...kesho unakuta anatoka na dogo Janja......Bongo balaaaaa..........
mbona dem mwenyewe wakawaida sana,Hata magotini hanifikii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
hivi huyo zilla hajui kuwa hamuwezi kuishi milele
Jamaa naona alitumia ushauri wangu vizuri...Zizi..... 50 cent wa bongo..... teh teh.... Zizi baba kapige drugs kusawazisha stress....
Mapenzi hayaangalii sura, ndio maana wabaya na wazuri wote wanapendwambona dem mwenyewe wakawaida sana,Hata magotini hanifikii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
hivi huyo zilla hajui kuwa hamuwezi kuishi milele
Doreen ana kosa gani mzee baba?
Hata sijuiDoreen ana kosa gani mzee baba?
Umemlaumu Doreen, ningependa kujua kosa lake.