Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

kingzilla we love yo voice moja ya ya mictar yake namkubali san
 
Mapenzi bhaana!!!!!
Sitaki hata niyasemee, maana eti yana run dunia.
Hilo ndo tatizo la kupenda kupindukia, siku ukitendwa unaonekana kituko MJINI.
Mungu nisimamie, maana hakuna linalokushinda.
Pole brother Zilla, Mzee wa Salasala
 
Kumbe mapenzi hayana ugumu.

Na mwanaume akiachwa na kuteseka kwenye mapenz anakuaga kama chizi.

asikwambie mtu!!
ndo maana mi nikajaga kujua HAILIPI KABISA KUA MTU MZURI!
just be a naughty, playboy, live life and DO NOT EVER COMMIT!
mkijua mtu kaweka ma kila kitu yake hapo ndo mnafanya msengerema kabisa.
nilijuta kujifanya Romeo na kutaraji ye awe Julieth.
again, HAILIPI KABISA KUA 'MKAKA MZURI'!!
 
Baada ya Godzilla kuonekana wazi kwa sasa dish limeyumba na anapo elekea litadondoka kabisa kama hatua za haraka zisipo chukuliwa ikiwa ni kumpeleka kwa madaktari wa saikolojia basi itakuwa historia.....
Wapo walio wai kusema kuwa love is mental illiness na sasa mifano imeanza kuonekana.

Godzilla dish lilianza kuyumba baada ya kuachwa bila taarifa na huyu mwana dada anayejulikana kama Doreen lakini hadi sasa Godzilla hataki kukubali kabisa kama ameachwa hivyo kupelekea dish kuanza kuyumba....
Hapa chini ndio muhusika...
 
Kumbe huyu jamaa ni mwepesi sana....he is not a gangstar....he is a little baby mama....nimesikitika sana....kwenye rules za maganster....rule number one......says dont fall in love with a bitch.....just fu.ck them...
 
Huyu atakuwa na stress zake anaona asingizie ni demu mbona manzi mwenyewe wakawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…